Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

BoT yadhibiti bidhaa za ndani kununuliwa kwa fedha za kigeni

SHERIA ya usimamizi wa fedha za kigeni ya mwaka 1992 na kanuni za fedha za kigeni za mwaka 1998 zinaeleza kwamba Watanzania wanaruhusiwa  kupokea, kumiliki na kutumia fedha za kigeni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia Lugha za kigeni marufuku,ofisini

Rais wa Somalia amepiga marufuku ya matumizi ya lugha za kigeni katika ofisi za serikali ,lugha pekee ya mawasiliano ni kisomali.

 

9 years ago

Habarileo

Marufuku kadi za X-mas kwa fedha za serikali

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali/ umma kwa mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Argentina na fedha za kigeni

Argentina inasitisha masharti ya ubadilishaji wa fedha za kigeni ambayo yameimarisha sarafu ya taifa hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marekani yawapiga marufuku wasafiri wa kigeni kutoka Brazil

Brazil hivi karibuni imekuwa ngome mpya ya maambukizi ya virusi vya corona huku watu 300,000 wakitibitishwa kuwa na virusi huvyo.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani