Marufuku kadi za X-mas kwa fedha za serikali
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali/ umma kwa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!
Balozi Ombeni Sefue
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.
Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UTENGENEZAJI NA UCHAPISHAJI KADI ZA XMAS NA MWAKA MPYA KWA GHARAMA ZAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Balozi Sefue, ameelekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na uchapishaji wa kadi, zitumike kupunguza madeni ambayo Wizara, Idara na Taasisi za umma zinadaiwa na wananch/wazabuni waliotoa...
10 years ago
Habarileo11 Jun
‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s72-c/DSC_0805.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s1600/DSC_0805.jpg)
9 years ago
MichuziTFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s72-c/MKULIMA.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI, UNUNUZI WA KARAFUU KWA ‘VIKOMBE’ KUEPUSHA WIZI NA UKATAJI MIKARAFUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s640/MKULIMA.jpg)
Na Ali MohamedSERIKALI imepiga marufuku uuzaji na ununuzi wa karafuu usio rasmi (vikombe) kuepusha wizi wa karafuu mashambani na ukataji wa mikarafuu unaofanywa na baadhi ya watu kutokana na kuzoeleka kwa biashara hiyo.
Wakizungumza katika nyakati tofauti Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba wamesema hakuna ruhusa kwa mtu yoyote kuuza au kununua karafuu mbichi au kavu...