Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya TFDA Dar es Salaam leo, wakati akitoa tahadhari ya uwepo katika soko wa vipodozi vyenye viambato vilivyopigwa marufuku na Serikali. Kulia ni Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu. Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu (kushoto), akizungumza katika mkutano huo huku akionesha moja ya kopo lenye kipodozi vilivyopigwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Vipodozi vilivyopigwa marufuku vyauzwa Dar

LICHA ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kupiga marufuku vipodozi vyenye viambata vya sumu, vimeendelea kuuzwa katika masoko yaliyopo jijini hapa huku vingine vikiisha muda wake.

 

11 years ago

Michuzi

TFDA KUTEKETEZA VIPODOZI VISIVYOFAA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 188

Afisa Uhusiano wa Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza akizungumza na wanahaabari (hawapo pichani) kuhusu vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamlaka hiyo.Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Frank Mvungi. Afisa Uhusiano wa Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza, akionesha moja ya vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamalaka hiyo kinachotumiwa na wanawake kukuza makalio. Baadhi ya vipodozi vilivyopigwa marufuku na Mamalaka ya Chakula na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yapiga marufuku vipodozi 200

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...

 

10 years ago

Mtanzania

TFDA yapiga marufuku aina 36 za vipodozi nchini

hiiti_b_silloESTHER MNYIKA NA MGENI SHABANI DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia utengenezaji wa vipodozi tofauti 36 vya   krimu na losheni ambavyo vimebainika  kuwa na viambato vya steroids vilivyopigwa marufuku.

Vipodozi vilivyobainika kuwa na viambato  vilivyopigwa marufuku ni pamoja na siri moisturizing cream lemon, cocoa butter krimu,siri moisturizing  cream lemon,lovely body cream lemon, lovely body cream.

Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa...

 

11 years ago

Habarileo

TFDA kufuatilia vyakula vyenye virutubishi

Ofisa Habari wa TFDA, Gaudencia Simwanza MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imeandaa mpango wa ufuatiliaji wa ubora na usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwenye soko.

 

10 years ago

Habarileo

TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi

 MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza shehena ya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imetekeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vya thamani ya Sh49 milioni.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani