Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA kufuatilia vyakula vyenye virutubishi

Ofisa Habari wa TFDA, Gaudencia Simwanza MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imeandaa mpango wa ufuatiliaji wa ubora na usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwenye soko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TFDA yaombwa kufuatilia ubora wa vipodozi vya asili

WATUMIAJI wa vipodozi wameishauri Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kufuatilia na kuwachukulia hatua watengenezaji wa vipodozi vya asili, wanaodanganya ubora wa bidhaa zao wakati zinaathiri ngozi za watumiaji.

 

11 years ago

Michuzi

TFDA KUTEKETEZA VIPODOZI VISIVYOFAA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 188

Afisa Uhusiano wa Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza akizungumza na wanahaabari (hawapo pichani) kuhusu vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamlaka hiyo.Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Frank Mvungi. Afisa Uhusiano wa Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza, akionesha moja ya vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamalaka hiyo kinachotumiwa na wanawake kukuza makalio. Baadhi ya vipodozi vilivyopigwa marufuku na Mamalaka ya Chakula na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajawazito Zanzibar washahuriwa kutumia vyakula vyenye lishe bora

02 (2)

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo.

Na Abdulla Ali na Mwanaisha Moh’d Maelezo-Zanzibar       

Kina mama wajawazito wameshauriwa kutumia vyakula vyenye Lishe Bora ili kuepukana na matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kujifungua kwao.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.  Mahmoud Thabit  Kombo wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma katika ukumbi wa  Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja.

Amesema...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

11 years ago

GPL

TFDA: UDHIBITI WA VYAKULA VILIVYOONGEZWA VIRUTUBISHO

Kushoto ni mratibu wa uongezaji virutubisho kutoka TFDA, John Mwingira, kulia ni ofisa habari wa TFDA, Gaudensia Simwanza wakiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakifuatilia kwa makini taarifa ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)…

 

10 years ago

Michuzi

TFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya TFDA Dar es Salaam leo, wakati akitoa tahadhari ya uwepo katika soko wa vipodozi vyenye viambato vilivyopigwa marufuku na Serikali. Kulia ni Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu. Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu (kushoto), akizungumza katika mkutano huo huku akionesha moja ya kopo lenye kipodozi vilivyopigwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani