Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA: UDHIBITI WA VYAKULA VILIVYOONGEZWA VIRUTUBISHO

Kushoto ni mratibu wa uongezaji virutubisho kutoka TFDA, John Mwingira, kulia ni ofisa habari wa TFDA, Gaudensia Simwanza wakiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakifuatilia kwa makini taarifa ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TFDA kufuatilia vyakula vyenye virutubishi

Ofisa Habari wa TFDA, Gaudencia Simwanza MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imeandaa mpango wa ufuatiliaji wa ubora na usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwenye soko.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tikitimaji; tunda lenye virutubisho lukuki

TIKITIMAJI ni kati ya tunda linaloonekana kupendwa na watu wengi katika miaka ya hivi karibuni. Sababu ya kupendwa ni kutokana na utamu wake na maji ambayo yanapatikana kiasi kwamba kama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia katika mkutano wa pili wa kimataifa wa lishe na virutubisho (ICN2) Rome Italia

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Mkutano wa pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho (ICN2) uliofanyika katika ukumbi wa Makao Makuu ya Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) jijini Rome, Italia juzi Novemba 19, 2014. (Picha na OMR).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal Novemba 19, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa kuhusu Lishe na Virutubisho...

 

10 years ago

Raia Tanzania

RC ataka udhibiti wa mikopo

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Rajab Rutengwe, amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuwadhibiti watumishi wa umma  wanaochukua mikopo pasipo kuifanyia kazi ya maendeleo kwa taifa.

Rutengwe alisema hayo mwanzoni mwa wiki alipofungua kikao cha udhibiti na ukaguzi wa hesabu za serikali mkoani hapa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini.

Aliwataka watumishi kutochukua mikopo holela kwa kuwa baadhi yao hushindwa kuwa waadilifu hivyo kukwama kwa shughuli za maendeleo.

“Watumishi...

 

11 years ago

Habarileo

KIA kuongeza udhibiti wa ‘unga’

UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kudhibiti usafirishaji wa dawa za kulevya, kutokana maboresho yaliyofanyika katika kitengo chake cha usalama.

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu na udhibiti wa nidhamu shuleni

Katika muktadha wa shule, neno nidhamu linamaanisha hatua mwafaka anazochukua mwalimu dhidi ya mwanafunzi au kikundi cha wanafunzi pale anapobaini kuwa tabia za wanafunzi zinavuruga au kwenda kinyume na taratibu na sheria za shule au jamii kwa jumla.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa udhibiti silaha watua bungeni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame SilimaSERIKALI imewasilisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014 bungeni, ambao pamoja na kuweka kikomo cha umri wa kumiliki silaha, pia umepiga marufuku na kudhibiti uingizwaji na uuzwaji wa silaha bandia nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani