Wajawazito Zanzibar washahuriwa kutumia vyakula vyenye lishe bora
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo.
Na Abdulla Ali na Mwanaisha Moh’d Maelezo-Zanzibar
Kina mama wajawazito wameshauriwa kutumia vyakula vyenye Lishe Bora ili kuepukana na matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kujifungua kwao.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja.
Amesema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Aug
TFDA kufuatilia vyakula vyenye virutubishi
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imeandaa mpango wa ufuatiliaji wa ubora na usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwenye soko.
9 years ago
Michuzi10 Sep
LISHE DUNI YACHANGIA VIFO VYA WATOTO NA KIMAMA WAJAWAZITO
Hayo yameelezwa na Naibu waziri wa Afya Dokta Kebwe S.Kebwe akitoa takwimu za vifo vya watoto na kinamama vinavyosababishwa na...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu
IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Vyakula, vinywaji unavyokatazwa kutumia mara baada ya mazoezi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vBcByvUqtFk/VTJt_h9WKyI/AAAAAAAHR20/nJufAzFkmLE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EYXrZmMHGU/VTJt_9XEXyI/AAAAAAAHR2w/T63CT4VR8ro/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
Habarileo03 Aug
Watoto wengi hawana lishe bora
WATAALAMU wa sekta ya afya mkoani Morogoro, wameeleza kuwa watoto wengi wanakabiliwa na uzito pungufu na udumavu, kutokana kukosa lishe bora.
9 years ago
Habarileo23 Sep
Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Ulaji usiozingatia lishe bora ongezeko la kisukari’
ULAJI usiozingatia lishe bora na unene uliopitiliza kutokana na kutofanya mazoezi, kumeelezwa kuwa chanzo cha ongezeko kubwa la ugonjwa wa kisukari hapa nchini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana...