Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s72-c/MMPAANGA.jpg)
LISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMgtcFM68yY/XrwmPzU-PdI/AAAAAAALqIU/I6h6I9Bau8YGuYHFmQs2fxCDSN7_KSiKwCLcBGAsYHQ/s640/MMPAANGA.jpg)
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/aaa-3-1024x768.jpg)
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)
………………………………………………..
NA DENIS MLOWE,IRINGA
LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...
11 years ago
Habarileo03 Aug
Watoto wengi hawana lishe bora
WATAALAMU wa sekta ya afya mkoani Morogoro, wameeleza kuwa watoto wengi wanakabiliwa na uzito pungufu na udumavu, kutokana kukosa lishe bora.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vBcByvUqtFk/VTJt_h9WKyI/AAAAAAAHR20/nJufAzFkmLE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EYXrZmMHGU/VTJt_9XEXyI/AAAAAAAHR2w/T63CT4VR8ro/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
MichuziWAKAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CNV8H_qNsos/XlKbXmWYVFI/AAAAAAALe7E/wKYLpZhKNQgaN-5faV6NC7hHTBw-67yZACLcBGAsYHQ/s72-c/3ba8b1f5-4f7d-4569-8486-99f701e39935.jpg)
Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango
WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Tanzania haijawekeza kwenye lishe bora ya watoto
BILL Gates tajiri mkubwa duniani ambaye ameanzisha Foundation (taasisi ya kutoa misaada) inayosaidia shughuli za maendeleo kama vile huduma za afya, kupambana na Ukimwi, kuimarisha kilimo, kuendeleza elimu na utafiti wa nishati endelevu.
Anaeleza kuwa alipoanza kutembelea vijiji vya Afrika ikiwemo Tanzania alikuwa anakisia umri wa watoto aliokutana nao. Mara kwa mara watoto aliodhani wana umri wa miaka saba au nane umri wao halisi ulikuwa miaka 12 au 13. Watoto wengi wamedumaa kwa ukosefu wa...
10 years ago
Michuzi24 Sep
REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_0154](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/1Wo3QeaLrCk3ehBzJ6tIuaMylO9mFf9k6Dg9jJ3VOxxHfESfktimCldy0MoMeLfxsaAT9ZLUZk8oZqbr41BC2LHkvuz--GFkQZZOzPNcx269wqZq2GV-WAY=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0154.jpg?w=660)
![SAM_0147](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/MlVZrCzXJqIeHeqrvW2O5fMx0z_-5TJ1PXz9iZbv_IISko_dySXQ5iUgdPuE7JAMAhLr6iM0BF6DtSLAzNrqDM2zj9bQ8DMCfXPli6DmfK5mAVnb6JLNlIU=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0147.jpg?w=660)
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Ulaji usiozingatia lishe bora ongezeko la kisukari’
ULAJI usiozingatia lishe bora na unene uliopitiliza kutokana na kutofanya mazoezi, kumeelezwa kuwa chanzo cha ongezeko kubwa la ugonjwa wa kisukari hapa nchini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana...