REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI
Mkuu wa Wilaya ya Monduli,mkoani Arusha,Jowika Kasunga akifungua hafla ya lishe bora iliyoandaliwa na kituo cha redio 5 cha jijini Arusha kwa kushirikiana na wadau wa KABI, AVRDC,Hort Tengeru,Inades formulation pamoja na airish Aid yenya kauli mbiu ya LISHE BORA KWA AFYA yaliyofanyika katika hospitali ya wilaya ya Monduli
Meneja masoko wa Redio 5Bi.Sarah Keiya akizungumza katika hafla ya lishe bora iliyoandaliwa na kituo cha redio 5 cha jijini Arusha kwa kushirikiana na wadau wa KABI,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-05M0yuOBxjM/Vm5kcr03bOI/AAAAAAAIMOs/eBfXW0JPUI0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-14%2Bat%2B9.39.35%2BAM.png)
9 years ago
Habarileo23 Sep
Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vBcByvUqtFk/VTJt_h9WKyI/AAAAAAAHR20/nJufAzFkmLE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EYXrZmMHGU/VTJt_9XEXyI/AAAAAAAHR2w/T63CT4VR8ro/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
Habarileo03 Aug
Watoto wengi hawana lishe bora
WATAALAMU wa sekta ya afya mkoani Morogoro, wameeleza kuwa watoto wengi wanakabiliwa na uzito pungufu na udumavu, kutokana kukosa lishe bora.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Ulaji usiozingatia lishe bora ongezeko la kisukari’
ULAJI usiozingatia lishe bora na unene uliopitiliza kutokana na kutofanya mazoezi, kumeelezwa kuwa chanzo cha ongezeko kubwa la ugonjwa wa kisukari hapa nchini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana...
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Tanzania haijawekeza kwenye lishe bora ya watoto
BILL Gates tajiri mkubwa duniani ambaye ameanzisha Foundation (taasisi ya kutoa misaada) inayosaidia shughuli za maendeleo kama vile huduma za afya, kupambana na Ukimwi, kuimarisha kilimo, kuendeleza elimu na utafiti wa nishati endelevu.
Anaeleza kuwa alipoanza kutembelea vijiji vya Afrika ikiwemo Tanzania alikuwa anakisia umri wa watoto aliokutana nao. Mara kwa mara watoto aliodhani wana umri wa miaka saba au nane umri wao halisi ulikuwa miaka 12 au 13. Watoto wengi wamedumaa kwa ukosefu wa...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Lishe bora ina nafasi katika maendeleo ya mwanafunzi
KWA mara ya kwanza kushiriki matembezi ya kuchangia chakula kwa watoto wa shule ilikuwa mwaka 2007, nilitembea kutoka ofisi za Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Matafa (WFP) karibu na ulipokuwa ubalozi wa Marekani hadi viwanja vya Karemjee.
Sikuchangia kiasi kikubwa cha fedha lakini niliamini moyoni kushiriki kwangu kulikuwa msaada mkubwa kwa watoto wa shule wanaoshinda na njaa, mpango huu hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuchangisha fedha kutoka kampuni na watu binafsi ili...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sW8tLnVR1aN6m9YHy7TCBMMysndZj6Ze8xOHQzdT3CjESVxJhAvJfriI*RJMVgxNEIbw4fJB3jnUO46KfdS0XmnGp6Ft4*15/001.MUHIMBILI.jpg?width=650)
WATOTO WENYE MARADHI YA SARATANI WANUFAIKA NA LISHE BORA