Lishe bora ina nafasi katika maendeleo ya mwanafunzi
KWA mara ya kwanza kushiriki matembezi ya kuchangia chakula kwa watoto wa shule ilikuwa mwaka 2007, nilitembea kutoka ofisi za Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Matafa (WFP) karibu na ulipokuwa ubalozi wa Marekani hadi viwanja vya Karemjee.
Sikuchangia kiasi kikubwa cha fedha lakini niliamini moyoni kushiriki kwangu kulikuwa msaada mkubwa kwa watoto wa shule wanaoshinda na njaa, mpango huu hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuchangisha fedha kutoka kampuni na watu binafsi ili...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...
10 years ago
Michuzi23 Sep
Warsha ya uhamasishaji ,mawasiliano na utetezi wa Lishe bora katika jamii itakayochukua siku tatu imefunguliwa leo
“Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara yake ya Afya na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imeendelea kuratibu...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Masomo ya ziada yana nafasi katika maendeleo ya mwanao shuleni
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vBcByvUqtFk/VTJt_h9WKyI/AAAAAAAHR20/nJufAzFkmLE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EYXrZmMHGU/VTJt_9XEXyI/AAAAAAAHR2w/T63CT4VR8ro/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
Habarileo03 Aug
Watoto wengi hawana lishe bora
WATAALAMU wa sekta ya afya mkoani Morogoro, wameeleza kuwa watoto wengi wanakabiliwa na uzito pungufu na udumavu, kutokana kukosa lishe bora.
9 years ago
Habarileo23 Sep
Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Je Marekani ina nafasi gani barani Afrika?
10 years ago
Michuzi24 Sep
REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_0154](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/1Wo3QeaLrCk3ehBzJ6tIuaMylO9mFf9k6Dg9jJ3VOxxHfESfktimCldy0MoMeLfxsaAT9ZLUZk8oZqbr41BC2LHkvuz--GFkQZZOzPNcx269wqZq2GV-WAY=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0154.jpg?w=660)
![SAM_0147](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/MlVZrCzXJqIeHeqrvW2O5fMx0z_-5TJ1PXz9iZbv_IISko_dySXQ5iUgdPuE7JAMAhLr6iM0BF6DtSLAzNrqDM2zj9bQ8DMCfXPli6DmfK5mAVnb6JLNlIU=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0147.jpg?w=660)
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Ulaji usiozingatia lishe bora ongezeko la kisukari’
ULAJI usiozingatia lishe bora na unene uliopitiliza kutokana na kutofanya mazoezi, kumeelezwa kuwa chanzo cha ongezeko kubwa la ugonjwa wa kisukari hapa nchini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana...