WAKAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI
Mkurugenzi wa msaidizi (Mafunzo) Bibi Felister Tirutangwa akizungumza wakati wa mafunzo ya program ya TEAMMATE kwa ajili ya wakaguzi kutoka NAOT na Wizara ya Fedha. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Morogoro kuanzia tarehe 02 hadi 06 Novemba, 2015.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) na Wizara ya Fedha wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya program ya TEAMMATE. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Morogoro kuanzia tarehe 02 hadi 06 Novemba, 2015.
Mgeni rasmi wa mafunzo ya program ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tK5NvkqYl2o/VdLS6BWtkPI/AAAAAAAHx5Q/gZmpPVQY6vU/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
madereva wa BRT watakiwa kuzingatia mafunzo, weledi katika kutoa huduma
9 years ago
Michuzi17 Aug
WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/178.jpg)
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/254.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...
10 years ago
StarTV07 Jan
Wakaguzi hesabu za Serikali waaswa kuzingatia sheria.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Wakaguzi na Wadhibiti wa Hesabu za Serikali nchini wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za ukaguzi wa mahesabu katika utendaji kazi ikiwa ni pamoja na kufuata maadili ya kazi zao.
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Katiba Tawala Mkoa wa Morogoro Lucas Mwaisaka katika ufunguzi wa mafunzo kwa wakaguzi wakuu wa kanda na mikoa.
Amesema wakaguzi wengi wamekuwa wakifanya ukaguzi kwa makini lakini tatizo limekuwepo katika uandikaji wa ripoti zinazohusiana na kaguzi...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Kova ataka polisi kuzingatia weledi
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova, amewataka askari wa kanda hiyo kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu na kufuata maadili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPrLijy9flE/VaO-I92Wt9I/AAAAAAAHpW4/sxBHyDwAfLY/s72-c/Picha%2Bna%2B1..jpg)
WATAKWIMU WA NCHI ZA AFRIKA WASISITIZWA KUZINGATIA WELEDI NA UWAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPrLijy9flE/VaO-I92Wt9I/AAAAAAAHpW4/sxBHyDwAfLY/s640/Picha%2Bna%2B1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aN8aVHhBT64/VaO-KC9Z7CI/AAAAAAAHpXA/yUtNSXa2Z8A/s640/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWfzptwq7rgEgMNdHTNxmdKzB8SG-k322AJ3LRKAygTCf9*1Val8*ZJpAAKIOxpjY0o1ytPAxB605--nawNpeJu/image.jpg?width=650)
MKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xhOlC1v97nk/VCLT4p3rZ2I/AAAAAAAGlis/5D0m5COz2W4/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
SERIKALI YAWATAKA WASIMAMIZI NA WADADISI WA UTAFITI WA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KUZINGATIA WELEDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xhOlC1v97nk/VCLT4p3rZ2I/AAAAAAAGlis/5D0m5COz2W4/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vtc5J0DTJXI/VCLT40NZ3dI/AAAAAAAGlik/vQVqBb9F6NY/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-neU-d-apMgk/VCLT4oU8akI/AAAAAAAGlig/JiiL9jV3wfU/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 May
Klabu ya waandishi wa habari mkoani Singida yatakiwa kuzingatia weledi katika taaluma yao
aimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Cosbert Mwinuka, akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa Singida Press Club (Singpress) uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hotel ya Muhai iliyopo kijiji cha Nduguti.Wa pili kulia (walioketi) ni mwenyekiti wa Singpress, Seif Takaza na wa kwanza kulia ni makamu mwenyekiti wa Singpress,Damiano Mkumbo.
Baadhi ya wanachama wa Singpress,waliohudhuria mkutano mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YRbabiy2Hs0/VAwXMUMZuxI/AAAAAAAGgwM/i5tzTicSBEs/s72-c/BUNGE-MAALUMU-LA-KATIBA.jpg)
WELEDI NA KUZINGATIA MAADILI YA UANDISHI WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALU LA KATIBA KUTALETA TIJA KWA WAANDISHI WA HABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YRbabiy2Hs0/VAwXMUMZuxI/AAAAAAAGgwM/i5tzTicSBEs/s1600/BUNGE-MAALUMU-LA-KATIBA.jpg)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
Kanuni za Bunge Maalum hususani Kanuni ya 77 inawataka waandishi wa habari kuandika habari za Bunge Maalum kwa weledi mkubwa na kuzingatia maadili ya uandishi wa habari ili kujiepusha na uandishi wenye utashi na ushabiki wa kisiasa, msukumo binafsi, chuki ama uchochezi na wakati mwingine uongo wa makusudi.
Aidha, katika Kanuni hiyo hiyo ya 77(3) inatamka bayana ya kuwa “Katibu anaweza wakati wowote kuondoa ruhusa aliyotoa kwa mwakilishi wa Chombo chochote...