Vipodozi vilivyopigwa marufuku vyauzwa Dar
LICHA ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kupiga marufuku vipodozi vyenye viambata vya sumu, vimeendelea kuuzwa katika masoko yaliyopo jijini hapa huku vingine vikiisha muda wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
TFDA yapiga marufuku vipodozi 200
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
TFDA yapiga marufuku aina 36 za vipodozi nchini
ESTHER MNYIKA NA MGENI SHABANI DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia utengenezaji wa vipodozi tofauti 36 vya krimu na losheni ambavyo vimebainika kuwa na viambato vya steroids vilivyopigwa marufuku.
Vipodozi vilivyobainika kuwa na viambato vilivyopigwa marufuku ni pamoja na siri moisturizing cream lemon, cocoa butter krimu,siri moisturizing cream lemon,lovely body cream lemon, lovely body cream.
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
Karibu ZuRii House of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi @Dar Free Market
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled2.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled4.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi.
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
*Kufunguliwa rasmi Januari 12, 2015
DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri...
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Vyeti vya kukosa ukimwi vyauzwa Uganda
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Aishi maisha magumu na wanaye, vitu vyote vyauzwa
5 years ago
BBCSwahili18 May
Michael Jordan: Viatu vya nguli wa NBA vyauzwa kwa rekodi ya $560,000
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Marufuku kupeana mikono Dar
11 years ago
Habarileo18 Mar
Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar
MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.