Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar
MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7wxlglIWGhE/U3RvO6dtCYI/AAAAAAAAjkI/eqlYfiqV_Bw/s72-c/unnamed.jpg)
Kamata kamata ya bodaboda na bajaji katikati ya jiji la Dar na utaratibu kulipia kibali maalum kwa pikipiki binafsi
Halmashauri ya jiji sasa imeanza kuwatoza watu binafsi na makampuni yanayotumia chombo hicho shilingi 500 kwa siku kila bodaboda inapoingia mjini wakidai ni tozo ya...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodaboda watakaofika katikati ya jiji kunyang’anywa leseni
WAENDESHA bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD), watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka sheria. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya baadhi ya madereva wanaokiuka agizo hilo.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mwakyembe: Ushuru bodaboda marufuku
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amesema ni kosa kwa halmashauri kote nchini kukusanya ushuru wa maegesho kutoka kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda. Dk. Mwakyembe amesema kumekuwa na tabia...
11 years ago
Habarileo03 Apr
Bodaboda, bajaj marufuku kubeba mtoto wa miaka 9
KANUNI mpya za uendeshaji usafiri wa pikipiki na bajaj maarufu bodaboda, zimeainishwa zikisisitiza waendeshaji wa vyombo hivyo, kutekeleza masharti, ikiwemo linalokataza kupakia mtoto mwenye umri wa miaka tisa na chini yake. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesisitiza kutumiwa kwa kanuni hizo na kusema mtoto wa umri huo, anapaswa awe na mtu mzima aliyeongozana naye, ndipo apakiwe kwenye vyombo hivyo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s72-c/DSCF6085.jpg)
MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s1600/DSCF6085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VEptO64JEM0/VQhz8q3zFRI/AAAAAAAAq2s/0KwZRHkwEfg/s1600/DSCF6085M.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)
11 years ago
Habarileo22 May
Mbunge- Magari yanayoingia katikati Dar yatozwe
MBUNGE wa Ilala, Iddi Zungu (CCM), ametaka magari yanayoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kutozwa fedha ili kudhibiti msongamano wa magari katika jiji hilo na kuepuka watu wenye magari wanaoingia bila kuwa na kazi maalumu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6qbPVeCRdHQ/VUSJhCdcVUI/AAAAAAAHUis/sgPnukxcaL8/s72-c/DSCF9967.jpg)
MTI WAPANDWA KATIKATI YA BARABARA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-6qbPVeCRdHQ/VUSJhCdcVUI/AAAAAAAHUis/sgPnukxcaL8/s1600/DSCF9967.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nEkc-3R0-Tg/VUSJhKwtupI/AAAAAAAHUio/vFrnloHO01M/s1600/DSCF9974.jpg)