Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe: Ushuru bodaboda marufuku

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amesema ni kosa kwa halmashauri kote nchini kukusanya ushuru wa maegesho kutoka kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda. Dk. Mwakyembe amesema kumekuwa na tabia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Marufuku kutoza ushuru wa pamba

SERIKALI imepiga marufuku utozwaji wa ushuru wa asilimia tano wa fedha za zao la pamba kutoka kwa wanunuzi kwa halmashauri 21 hapa nchini na badala yake, Serikali ndio itawajibika kulipa asilimia hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakyembe atamani benki ya bodaboda

DSC02707

Baadhi ya madereva wa boda boda mkoa wa Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya boda boda kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Peoples klabu mjini hapa.Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo, Dk.Harrison Mwakyembe,ameagiza SUMATRA kuandaa mikakati itakayosaidia kuanzishwa kwa benki ya boda boda nchini,itakayosaidia wafanyabiashara hao kupata mikopo kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAZIRI wa uchukuzi  Dk.Harrison Mwakyembe,...

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar

MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepiga marufuku bajaji na pikipiki (bodaboda) kuegeshwa na kufanya biashara katika kituo kipya cha daladala cha ‘Simu 2000’, kilichopo Ubungo.

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda, bajaj marufuku kubeba mtoto wa miaka 9

KANUNI mpya za uendeshaji usafiri wa pikipiki na bajaj maarufu bodaboda, zimeainishwa zikisisitiza waendeshaji wa vyombo hivyo, kutekeleza masharti, ikiwemo linalokataza kupakia mtoto mwenye umri wa miaka tisa na chini yake. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesisitiza kutumiwa kwa kanuni hizo na kusema mtoto wa umri huo, anapaswa awe na mtu mzima aliyeongozana naye, ndipo apakiwe kwenye vyombo hivyo.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Kikoa cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, wakati alipofika Wilayani humo kwa ziara ya kikazi. Simbachawene amepiga marufuku ukamataji wa wananchi, bodaboda pamoja na kufanya operesheni ya aina yoyote kwa kukurupuka bila kufuata utaratibu, hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani badala ya kujenga amani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro mzito wa ushuru

Kampuni ya Barrack Printers inayokusanya ushuru wa maegesho katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imeingia katika mgogoro na baadhi ya madiwani na wamiliki wa magari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara walia na ushuru

USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani