Mwakyembe: Ushuru bodaboda marufuku
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amesema ni kosa kwa halmashauri kote nchini kukusanya ushuru wa maegesho kutoka kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda. Dk. Mwakyembe amesema kumekuwa na tabia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jul
Marufuku kutoza ushuru wa pamba
SERIKALI imepiga marufuku utozwaji wa ushuru wa asilimia tano wa fedha za zao la pamba kutoka kwa wanunuzi kwa halmashauri 21 hapa nchini na badala yake, Serikali ndio itawajibika kulipa asilimia hiyo.
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mwakyembe atamani benki ya bodaboda
Baadhi ya madereva wa boda boda mkoa wa Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya boda boda kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Peoples klabu mjini hapa.Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo, Dk.Harrison Mwakyembe,ameagiza SUMATRA kuandaa mikakati itakayosaidia kuanzishwa kwa benki ya boda boda nchini,itakayosaidia wafanyabiashara hao kupata mikopo kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe,...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar
MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’
11 years ago
Habarileo03 Apr
Bodaboda, bajaj marufuku kubeba mtoto wa miaka 9
KANUNI mpya za uendeshaji usafiri wa pikipiki na bajaj maarufu bodaboda, zimeainishwa zikisisitiza waendeshaji wa vyombo hivyo, kutekeleza masharti, ikiwemo linalokataza kupakia mtoto mwenye umri wa miaka tisa na chini yake. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesisitiza kutumiwa kwa kanuni hizo na kusema mtoto wa umri huo, anapaswa awe na mtu mzima aliyeongozana naye, ndipo apakiwe kwenye vyombo hivyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s640/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9e835e81-624d-400a-bfbf-64bef98dc92e.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mgogoro mzito wa ushuru
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wafanyabiashara walia na ushuru
USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...