Mwakyembe atamani benki ya bodaboda
Baadhi ya madereva wa boda boda mkoa wa Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya boda boda kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Peoples klabu mjini hapa.Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo, Dk.Harrison Mwakyembe,ameagiza SUMATRA kuandaa mikakati itakayosaidia kuanzishwa kwa benki ya boda boda nchini,itakayosaidia wafanyabiashara hao kupata mikopo kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mwakyembe: Ushuru bodaboda marufuku
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amesema ni kosa kwa halmashauri kote nchini kukusanya ushuru wa maegesho kutoka kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda. Dk. Mwakyembe amesema kumekuwa na tabia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya NBC yakabidhi bodaboda kwa mshindi wa Weka Upewe Karatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbU7afPnaG4t12G-qjcGayCeOBsixNEqQj1tOx6nStnvEFK9Lj-MIyOMCqEB-wGgxOik00Zwbmigvn1BARlFZ-z/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeJXxZIhiVyQb*grZjTC*jzu-VALw0e5-smbnNXBY3Ezl82Vyc70yk4K8PPFaIpFRdhuq-sjDb36-PL258hEynj/ANTI.jpg)
AUNTY ATAMANI KUZAA
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Baby Madaha atamani mtoto
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...
10 years ago
Mtanzania30 May
Pinda atamani sheria ya wosia
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuna haja ya kuwa na sheria itakayowezesha uandikishaji wosia kuwa wa lazima ili kuondokana na migogoro ya kugombania mali za marehemu na unyanyasaji wa wajane na watoto.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na uzinduzi wa kampeni ya uandishi wa wosia.
Alisema migogoro hiyo kwa kiasi kikubwa inaathiri wanawake na watoto pindi wazazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N6tOykHJpwm8Eg4g55zbaUAyd6dCLAL8i8zxGhVYch8MbDYNox9sR59w-5GKtoP7u1Xg9e99aGKBZBnGdB4*fAf/aunt.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL ATAMANI KUOKOKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOI*DRuNlM0NAsGr5-9nZEkKX7x9M*hqYFceFIyYrk5fhM3*bwLsKZLPzLvomwDKovlHt6qeL*1GGWcgza4ALjmb/pendo.jpg?width=650)
PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!