Mgogoro mzito wa ushuru
Kampuni ya Barrack Printers inayokusanya ushuru wa maegesho katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imeingia katika mgogoro na baadhi ya madiwani na wamiliki wa magari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsG23jvX2yr36M3GJdP8sP3qyumCjUGM81PNXLcJPBmexgP67Ewy18LPZ1lbvVYlYw9-OUs7jRPjqPg2qTYRPOJ8/mgogoro2.jpg?width=650)
MGOGORO MZITO MIRATHI YA KULOLA
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wafanyabiashara walia na ushuru
USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ushuru waibua sintofahamu Moshi
11 years ago
Habarileo02 Jul
Marufuku kutoza ushuru wa pamba
SERIKALI imepiga marufuku utozwaji wa ushuru wa asilimia tano wa fedha za zao la pamba kutoka kwa wanunuzi kwa halmashauri 21 hapa nchini na badala yake, Serikali ndio itawajibika kulipa asilimia hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mwakyembe: Ushuru bodaboda marufuku
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amesema ni kosa kwa halmashauri kote nchini kukusanya ushuru wa maegesho kutoka kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda. Dk. Mwakyembe amesema kumekuwa na tabia...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Simba kuwavaa watoza ushuru
WEKUNDU wa Msimbazi Simba leo wanashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuvaana na URA ya Uganda katika mchezo wa kirafiki kwa maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Halmashauri yakosa mapato ushuru wa mabasi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, limeiagiza halmashauri hiyo kuanza kukusanya ushuru wa mapato ya mabasi ya abiria. Hatua hiyo inakuja baada ya halmashauri hiyo...
10 years ago
Habarileo03 Jun
Halmashauri zalipwa deni la ushuru wa mazao
SHILINGI bilioni 1.4 zimelipwa kwa halmashauri mbalimbali nchini, zikiwa ni deni la ushuru wa mazao inayodaiwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).