Halmashauri zalipwa deni la ushuru wa mazao
SHILINGI bilioni 1.4 zimelipwa kwa halmashauri mbalimbali nchini, zikiwa ni deni la ushuru wa mazao inayodaiwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.
9 years ago
Habarileo10 Sep
Magufuli kufuta ushuru wa mazao ya wakulima
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ameendelea kuchanja mbuga katika kampeni zake, huku akitoa ahadi zenye kuyagusa makundi mbalimbali ya Watanzania, safari hii akiahidi kuwakomboa wakulima kwa kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mazao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFFe*2RX4SLcJtxSnvvu4MwLHxTJCUgoWQaT-G*KD7hC2KvZYeTlR96y6qIBlvn4rbC-ufQGJmgbEH8VabRJEhG/8.jpg?width=650)
PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Halmashauri yakosa mapato ushuru wa mabasi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, limeiagiza halmashauri hiyo kuanza kukusanya ushuru wa mapato ya mabasi ya abiria. Hatua hiyo inakuja baada ya halmashauri hiyo...
10 years ago
Michuzi02 Mar
Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NB6sqCwNTKOx8u2XS0f7yHFQj2heNcmFueewxrubbkg0wTeWtHoMVt4Z0qUt6AhLwB38VyRNzZ6ha9WFFDFZFklPvlzrIUigyTwWL0PHYoO_ciRN7Fji5JDR1sZBpn2PZYLTSXMUApCXJpZMFEvClBXYZHuZnI79t2XfbPJOIPHU3rohFHnCPGkt5TNTtBE51XDBjb8risgHlDjW9K2zea3skLN7F95yieT65hVhTb6AOAUQjLXmUy-xLHRQcaSLycv63BRL6VGRI47G1yxIpolLl5TsFQv0VCOKgOowizKjL4d4iBVOBn-p_CqRQ9Eor0tav3fub7EOukGSAeepeyGb=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-EGsBeFTGqWk%2FVPHFvusju7I%2FAAAAAAAHGiU%2FLg7RXdKsMuI%2Fs1600%2FUntitledK2.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x4mFp7c62ww/VXqYkX4r3wI/AAAAAAAHe3k/rokZHkcdQ5o/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mgogoro mzito wa ushuru