Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri zalipwa deni la ushuru wa mazao

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraSHILINGI bilioni 1.4 zimelipwa kwa halmashauri mbalimbali nchini, zikiwa ni deni la ushuru wa mazao inayodaiwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kufuta ushuru wa mazao ya wakulima

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ameendelea kuchanja mbuga katika kampeni zake, huku akitoa ahadi zenye kuyagusa makundi mbalimbali ya Watanzania, safari hii akiahidi kuwakomboa wakulima kwa kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mazao.

 

10 years ago

GPL

PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI

Peramiho ni moja kati ya majimbo saba yaliyopo kwenye Mkoa wa Ruvuma, linaloongozwa na Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama. Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanya mahojiano na wananchi mbalimbali walioeleza matatizo yanayowakabili na jinsi mbunge wao anavyotekeleza ahadi zake. Baada ya hapo,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri yakosa mapato ushuru wa mabasi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, limeiagiza  halmashauri hiyo kuanza kukusanya ushuru wa mapato ya mabasi ya abiria. Hatua hiyo inakuja baada ya halmashauri hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi

Kampuni ya ACACIA kupitia mgodi wake wa Buzwagi uliopo kwenye halmashauri ya mji wa Kahama,imeipatia ushuru wa asilimia 0.3 (0.3%) ya mapato ghafi halmashauri hiyo,ikiwa ni ushuru kwa kipindi cha miezi sita (Julai - Disemba,2014) ambayo ni zaidi ya shilingi za kitanzania millioni 800,uliokabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama.Kaimu Meneja Mkuu wa mgodi wa Buzwagi  ulio chini ya Kampuni ya ACACIA,Ing. Mutereko Muganda (wa pili kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye ...

 

10 years ago

Michuzi

Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)

Kampuni ya Acacia Mining Ltd imetiliana saini ya Makubaliano (MoU) na Halmashauri za Wilaya ya Tarime, Kahama na Msalala ili kuweza kutekeleza ulipaji wa ushuru wa huduma (service levy) kwa kiwango cha asilimia 0.3 ya mapato ghafi ya kampuni hiyo kwa mwaka mzima kwa mujibu wa sheria ya Serikali za Mitaa.  Tukio hilo limefanyika tarehe 10 Juni, 2015 jijini Dar es Salaam makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kushuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, Makamu wa Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

10 years ago

StarTV

Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

 

Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.

Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro mzito wa ushuru

Kampuni ya Barrack Printers inayokusanya ushuru wa maegesho katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imeingia katika mgogoro na baadhi ya madiwani na wamiliki wa magari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani