Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi

Kampuni ya ACACIA kupitia mgodi wake wa Buzwagi uliopo kwenye halmashauri ya mji wa Kahama,imeipatia ushuru wa asilimia 0.3 (0.3%) ya mapato ghafi halmashauri hiyo,ikiwa ni ushuru kwa kipindi cha miezi sita (Julai - Disemba,2014) ambayo ni zaidi ya shilingi za kitanzania millioni 800,uliokabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama.Kaimu Meneja Mkuu wa mgodi wa Buzwagi  ulio chini ya Kampuni ya ACACIA,Ing. Mutereko Muganda (wa pili kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA.

Baadhi ya Maafisa kutoka Mgodi wa Buzwagi wakifatilia mashindano hayo wakati wa ufunguzi, kutoka kushoto ni Bwana, Jamal Rwambol, (Security Operations Section Leader), George Mkanza-(Sustainability Manager), Amos John – (Commercial Manager and Acting Mine General Manager), Bahati Mwambene-Community relations section Leader na Magesa Magesa-(Stakeholder engagement & communications officer) Bwana Jamal Rwambol Security Operations Section Leader wa mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi akizungumza wakati...

 

10 years ago

Mtanzania

Mgodi wa Buzwagi kufungwa

Na Fredrick Katulanda, Mwanza

MAKAMU wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia, Deo Mwanyika, amesema mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga utafungwa kutokana na uzalishaji kushuka.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwanyika alisema mashapo ya dhahabu ya mgodi wa Buzwagi yana uwezo wa kutoa Ounce 900,000 ya dhahabu yenye ubora wa gramu 1.35 kwa tani hivyo kudumu kwa kipindi cha miaka mitano.
Alisema kutoka na hali hiyo, uongozi wa Kampuni ya...

 

10 years ago

Michuzi

MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA NISHATI NA MADINI


TANGAZO.


MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI.
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango...

 

10 years ago

Michuzi

Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yaumwagia sifa Mgodi wa Buzwagi

Migodi ya dhahabu nchini imetakiwa kuiga mfano wa mgodi wa Buzwagi wilayani Kahama katika kutunza na kuweka mazingira ya uzalishaji salama kwa binadamu na viumbe wengine.
 Rai hiyo imetolewa  na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili  na Mazingira Mheshimiwa James Lembeli, wakati kamati hiyo ilipotembelea mgodi huo tarehe 30 Oktoba 2014 . 
Mhe.Lembeli alisema kuwa kamati yake ilifuatilia kwa kina utekelezaji wa maagizo na maelekezo ya Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC)  kwa migodi...

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU YA FAMILIA DAY YAFANA ,MGODI WA DHAHABU WA BUZWAGI GOLD MINE

 Moja wa  wa watoto wa wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu Desdery kweyuna akepewa maelezo toka kwa Dr wilfred kaizerege juu ya huduma za afya kwa wafanyakazi wa mgodi huo Mkuu wa wilaya ya kahama Benson Mpesya mwenye suti akikaribishwa na meneja wa mgodi wa buzwagi Filbert Rweyemamu katika siku ya familia day ya mgodi huo.
 Afisa mahusiano wa mgodi wa dhahabu wa buzwagi blandina mughezi mweye miwa,huku meneja wa mgodi huu Filbert Rweyemamu akipokea mkuu wa wilaya ya kahama .
 Mzee karibu sana

 

10 years ago

Michuzi

DC MPESYA AWAMWAGIA SIFA WAFANYAKAZI MGODI WA BUZWAGI, NI KATIKA SHEREHE ZA KUWAPATIA TUNZO



Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, (kushoto), akitoa maelezo wakati wa kumpatia zawadi za kimila, Shuka ya rubega, mkuki na ngao, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Acacia, Brad Gordon, (kulia), wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi waliohudumu kwa muda mrefu kwenye kampuni hiyo, na wengine 10 walizawadiwa kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya Acacia ya tabia sita (six desired behavior), kama kipimo cha utendaji bora wa kazi ambapo ni pamoja na kushirikiana...

 

5 years ago

CCM Blog

KATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA


Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiishukuru Kampuni ya Barrick kwa kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama mgodi wa Barrick Buzwagi, Dkt. Antoinette George.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...

 

5 years ago

Michuzi

KATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiishukuru Kampuni ya Barrick kwa kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama mgodi wa Barrick Buzwagi, Dkt. Antoinette George.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...

 

5 years ago

Michuzi

MGODI WA BARRICK BUZWAGI WAKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUTOA MATENKI SHINYANGA

Na Marco Maduhu- Malunde 1 BlogMKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amekabidhi Matanki ya kuoshea mikono ‘washing container’ yaliyotolewa na Kampuni ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Barrick kupitia mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama ili kuendeleza mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na manispaa ya Shinyanga.
Zoezi la kukabidhi matenki hayo mawili ya maji limefanyika kwenye Ofisi za mkuu wa wilaya ya Shinyanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani