MGODI WA BARRICK BUZWAGI WAKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUTOA MATENKI SHINYANGA
Na Marco Maduhu- Malunde 1 BlogMKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amekabidhi Matanki ya kuoshea mikono ‘washing container’ yaliyotolewa na Kampuni ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Barrick kupitia mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama ili kuendeleza mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na manispaa ya Shinyanga.
Zoezi la kukabidhi matenki hayo mawili ya maji limefanyika kwenye Ofisi za mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
CCM BlogKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
CCM BlogBARRICK BUZWAGI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 48
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s72-c/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
UWASWATA kutoa msaada wa Sabuni kwa ajili ya kupambana na virusi vya Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s640/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
Sabuni hizo zitatolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye atatoa sabuni hizo kutokana na uhitaji wa hospitali.
Akizungumza na Michuzi TV Katibu wa Umoja huo Maria Lucas amesema kuwa hawawezi kuiachia serikali peke yake katika mapambano ya Virusi vya Corona.
Amesema Wana sabuni...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Mabenki Tanzania yaelekezwa kutoa ahueni kwa wakopaji wao
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...