UWASWATA kutoa msaada wa Sabuni kwa ajili ya kupambana na virusi vya Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s72-c/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
Umoja wa wazalishaji sabuni wadogo Tanzania (UWASWATA) unatarajia kuungana na serikali katika mapambano Virusi vya Corona kwa kutoa mchango wao wa Sabuni kwa ajili ya Hospitali Jijini Dar es Salaam.
Sabuni hizo zitatolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye atatoa sabuni hizo kutokana na uhitaji wa hospitali.
Akizungumza na Michuzi TV Katibu wa Umoja huo Maria Lucas amesema kuwa hawawezi kuiachia serikali peke yake katika mapambano ya Virusi vya Corona.
Amesema Wana sabuni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: Jitihada za Zanzibar kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z-yabrVVRq8/XnkQntw2B2I/AAAAAAALk3Q/NBBbRn9udYEvGEta-ObIf6mBa6PAifJKACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72a233d47ac1meu8_800C450.jpg)
Mfuko wa kimataifa kuanzishwa kwa ajili ya kuwasaidia waathiriwa wa virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z-yabrVVRq8/XnkQntw2B2I/AAAAAAALk3Q/NBBbRn9udYEvGEta-ObIf6mBa6PAifJKACLcBGAsYHQ/s640/4bv72a233d47ac1meu8_800C450.jpg)
Taarifa iliyotolewa na Ine Eriksen Søreide imesema kuwa, mfuko huo utazishirikisha jumuiya na taasisi wafadhili chini ya Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuzidisha juhudi za kimataifa za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona na kuwasaidia watu walioambukizwa virusi hivyo.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, tangazo rasmi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wC0LO74eCQ4/Xp8MfjgLHZI/AAAAAAALnvU/zaGo8ecOuDEaEUkJ1cFRaGAPFtOtu54XQCLcBGAsYHQ/s72-c/21890c23-7dbc-426c-974a-91c2e192d46d.jpg)
BALOZI WA PAKISTAN AIPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Serikali imepongezwa kwa jitihada inazozifanya katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) hapa nchini.
Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani hapa nchini Muhammad Saleem wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Saleem alisema tangu ugonjwa huo ulipoingia hapa nchini mwezi uliopita kasi ya maambukizi ni ndogo...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s72-c/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
KATA YA KIVUKONI CCM YAKABIDHI VIFAA NA SABUNI KUJILINDA NA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU YANAYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s640/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1ELeoFJr-I/XnknJoIL0CI/AAAAAAAAnLM/ilnpUWk2sao6FKTaqtROO4MTPQWfVCMzgCEwYBhgL/s640/2b352534-c708-417a-b94b-34e3573c55f8.jpg)