Mfuko wa kimataifa kuanzishwa kwa ajili ya kuwasaidia waathiriwa wa virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z-yabrVVRq8/XnkQntw2B2I/AAAAAAALk3Q/NBBbRn9udYEvGEta-ObIf6mBa6PAifJKACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72a233d47ac1meu8_800C450.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway amesema kuwa, Umoja wa Mataifa utaanzisha mfuko wa kusaidia matibabu ya wagonjwa wa virusi vya corona katika pembe mbalimbali za dunia.
Taarifa iliyotolewa na Ine Eriksen Søreide imesema kuwa, mfuko huo utazishirikisha jumuiya na taasisi wafadhili chini ya Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuzidisha juhudi za kimataifa za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona na kuwasaidia watu walioambukizwa virusi hivyo.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, tangazo rasmi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s72-c/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
UWASWATA kutoa msaada wa Sabuni kwa ajili ya kupambana na virusi vya Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s640/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
Sabuni hizo zitatolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye atatoa sabuni hizo kutokana na uhitaji wa hospitali.
Akizungumza na Michuzi TV Katibu wa Umoja huo Maria Lucas amesema kuwa hawawezi kuiachia serikali peke yake katika mapambano ya Virusi vya Corona.
Amesema Wana sabuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Tazama jinsi hospitali hii ilivyojengwa ndani ya siku 10 ili kuwashughulikia waathiriwa wa virusi vya Corona China
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono