MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y6SApilAnvg/Vd1uowHRHII/AAAAAAAAUU4/GX6WAkR_mbU/s72-c/unnamed.jpg)
Baadhi ya Maafisa kutoka Mgodi wa Buzwagi wakifatilia mashindano hayo wakati wa ufunguzi, kutoka kushoto ni Bwana, Jamal Rwambol, (Security Operations Section Leader), George Mkanza-(Sustainability Manager), Amos John – (Commercial Manager and Acting Mine General Manager), Bahati Mwambene-Community relations section Leader na Magesa Magesa-(Stakeholder engagement & communications officer)
Bwana Jamal Rwambol Security Operations Section Leader wa mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi akizungumza wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Mar
Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NB6sqCwNTKOx8u2XS0f7yHFQj2heNcmFueewxrubbkg0wTeWtHoMVt4Z0qUt6AhLwB38VyRNzZ6ha9WFFDFZFklPvlzrIUigyTwWL0PHYoO_ciRN7Fji5JDR1sZBpn2PZYLTSXMUApCXJpZMFEvClBXYZHuZnI79t2XfbPJOIPHU3rohFHnCPGkt5TNTtBE51XDBjb8risgHlDjW9K2zea3skLN7F95yieT65hVhTb6AOAUQjLXmUy-xLHRQcaSLycv63BRL6VGRI47G1yxIpolLl5TsFQv0VCOKgOowizKjL4d4iBVOBn-p_CqRQ9Eor0tav3fub7EOukGSAeepeyGb=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-EGsBeFTGqWk%2FVPHFvusju7I%2FAAAAAAAHGiU%2FLg7RXdKsMuI%2Fs1600%2FUntitledK2.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Mgodi wa Buzwagi kufungwa
Na Fredrick Katulanda, Mwanza
MAKAMU wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia, Deo Mwanyika, amesema mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga utafungwa kutokana na uzalishaji kushuka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwanyika alisema mashapo ya dhahabu ya mgodi wa Buzwagi yana uwezo wa kutoa Ounce 900,000 ya dhahabu yenye ubora wa gramu 1.35 kwa tani hivyo kudumu kwa kipindi cha miaka mitano.
Alisema kutoka na hali hiyo, uongozi wa Kampuni ya...
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yaumwagia sifa Mgodi wa Buzwagi
Rai hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mheshimiwa James Lembeli, wakati kamati hiyo ilipotembelea mgodi huo tarehe 30 Oktoba 2014 .
Mhe.Lembeli alisema kuwa kamati yake ilifuatilia kwa kina utekelezaji wa maagizo na maelekezo ya Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) kwa migodi...
10 years ago
VijimamboSIKU YA FAMILIA DAY YAFANA ,MGODI WA DHAHABU WA BUZWAGI GOLD MINE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Uzvj5Lh3y4U/VUyvA0uxJ6I/AAAAAAAATU8/J15-BlSrBaE/s72-c/Brad-%2BMpesya.jpg)
DC MPESYA AWAMWAGIA SIFA WAFANYAKAZI MGODI WA BUZWAGI, NI KATIKA SHEREHE ZA KUWAPATIA TUNZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uzvj5Lh3y4U/VUyvA0uxJ6I/AAAAAAAATU8/J15-BlSrBaE/s640/Brad-%2BMpesya.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, (kushoto), akitoa maelezo wakati wa kumpatia zawadi za kimila, Shuka ya rubega, mkuki na ngao, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Acacia, Brad Gordon, (kulia), wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi waliohudumu kwa muda mrefu kwenye kampuni hiyo, na wengine 10 walizawadiwa kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya Acacia ya tabia sita (six desired behavior), kama kipimo cha utendaji bora wa kazi ambapo ni pamoja na kushirikiana...
5 years ago
MichuziKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
CCM BlogKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
MichuziMGODI WA BARRICK BUZWAGI WAKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUTOA MATENKI SHINYANGA
Zoezi la kukabidhi matenki hayo mawili ya maji limefanyika kwenye Ofisi za mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Mahusiano mgodi wa Barrack, jamii yaimarika
MAHUSINO baina ya Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama uliokuwa umetetereka na kuzua migogoro na jamii inayozunguka mgodi yanazidi kuimarika kutokana...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10