Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa
>Burundi imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa, baada ya mawaziri watatu wa chama cha Uprona chenye wafuasi wengi kutoka kabila la Watutsi kujiuzulu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mgogoro mzito wa ushuru
11 years ago
GPL
MGOGORO MZITO MIRATHI YA KULOLA
9 years ago
StarTV23 Dec
Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...
11 years ago
Michuzi
PINDA: VIONGOZI WA MKOA TUMIENI BUSARA KUMALIZA MGOGORO WA KISIASA KAGERA

Ametoa wito huo jana usiku (Jumamosi, Oktoba 5, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa Serikali wa mkoa huo mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa Mkoa huo, Kanali (Mst) Fabian Massawe.
Waziri Mkuu aliwasili Bukoba jana jioni akitokea Dodoma ili kumwakilisha Rais Jakaya...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
UN yalaani mvutano wa kisiasa Burundi
10 years ago
Vijimambo02 Mar
MFUNGWA WA KISIASA BURUNDI ATOWEKA GEREZANI
Hauhitaji Media PlayerPata usaidizi kuhusu Media PlayerBonyeza 'Enter' kuendelea au kurejea mwanzoni

Aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala Nchini Burundi Hussein Rajabu ameripotiwa kutoroka jela.Hussein Rajabu ambaye alikuwa mwanasiasa mashuhuri nchini humo alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela, mwaka 2007.Rajabu alikuwa anakabiliwa na kosa la hatia ya uhaini dhidi ya serikali kwa kutaka kuzusha vurugu nchini humo.Raia wengi wameonyesha wasiwasi wao...
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mfungwa wa kisiasa Burundi atoweka gerezani
10 years ago
Michuzi
BAN KI MOON ATIWA MOYO NA MAZUNGUMZO YA KISIASA BURUNDI

Na Mwandishi Maalum, New YorkWakati hali ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon (pichani), ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na usalama nchi humo .Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, siku ya Ijumaa hapa Umoja wa Mataifa, imesema, katibu Mkuu anatiwa moyo na juhudi zinazofanywa na makundi mbalimbali ya kikanda, ya kidini, ya kijamii, vyama vya siasa ...
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza