Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza

Muungano wa Afrika, AU, umetangaza kwamba umejiandaa kuwatuma zaidi ya wanajeshi 5,000 wa kudumisha amani nchini Burundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania inaufuatilia mgogoro wa Burundi

Hivi sasa Burundi ina mgogoro baada ya Chama tawala cha CNDD FDD kumteua Nkurunzinza kugombea urais kwa muhula wa tatu .

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro wa Burundi ufike mwisho

Tovuti hii toleo la jana kulikuwa na habari iliyosema wakimbizi wa Burundi wazidi kumiminika nchini hadi kufikia 91,661. Takwimu za Septemba 8, kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, zinaonyesha kila siku wanapokewa wakimbizi 200 na kusajiliwa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma.

 

10 years ago

BBCSwahili

EAC kushughulikia mgogoro wa Burundi

Ujumbe wa mawaziri wa mambo ya nje wa Afrika Mashariki kushughulikia mgogoro wa Burundi

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa

>Burundi imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa, baada ya mawaziri watatu wa chama cha Uprona chenye wafuasi wengi kutoka kabila la Watutsi kujiuzulu.

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM

William Samoei Ruto, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa EAC wakisimama kwa wimbo wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Burundi. Mh. Benard Membe ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI

Taarifa ya makubaliano toka kwa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki imetolewa leo Ikulu Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo ambapo baadhi ya maadhimio waliyokubaliana ni kwamba Rais Museveni wa Uganda awe msimamizi wa juhudi za upatanishi wa makundi nchini Humo.
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...

 

5 years ago

ReliefWeb

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi  ReliefWeb

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban

Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yazungumza na wasichana 3 wa Chibok

Wasichana wa Chibok nchini Nigeria bado wanaendelea kushikiliwa licha ya mazungumzo kati ya serikali na wanaowazuilia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani