Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza
Muungano wa Afrika, AU, umetangaza kwamba umejiandaa kuwatuma zaidi ya wanajeshi 5,000 wa kudumisha amani nchini Burundi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Tanzania inaufuatilia mgogoro wa Burundi
Hivi sasa Burundi ina mgogoro baada ya Chama tawala cha CNDD FDD kumteua Nkurunzinza kugombea urais kwa muhula wa tatu .
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mgogoro wa Burundi ufike mwisho
Tovuti hii toleo la jana kulikuwa na habari iliyosema wakimbizi wa Burundi wazidi kumiminika nchini hadi kufikia 91,661. Takwimu za Septemba 8, kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, zinaonyesha kila siku wanapokewa wakimbizi 200 na kusajiliwa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma.
10 years ago
BBCSwahili05 May
EAC kushughulikia mgogoro wa Burundi
Ujumbe wa mawaziri wa mambo ya nje wa Afrika Mashariki kushughulikia mgogoro wa Burundi
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa
>Burundi imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa, baada ya mawaziri watatu wa chama cha Uprona chenye wafuasi wengi kutoka kabila la Watutsi kujiuzulu.
10 years ago
GPLVIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM
William Samoei Ruto, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa EAC wakisimama kwa wimbo wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Burundi. Mh. Benard Membe ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s72-c/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s400/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...
5 years ago
ReliefWeb17 Feb
Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi
Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi ReliefWeb
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban
Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
BBC yazungumza na wasichana 3 wa Chibok
Wasichana wa Chibok nchini Nigeria bado wanaendelea kushikiliwa licha ya mazungumzo kati ya serikali na wanaowazuilia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania