Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro wa Burundi ufike mwisho

Tovuti hii toleo la jana kulikuwa na habari iliyosema wakimbizi wa Burundi wazidi kumiminika nchini hadi kufikia 91,661. Takwimu za Septemba 8, kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, zinaonyesha kila siku wanapokewa wakimbizi 200 na kusajiliwa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BI. MOZA ATAMANI MWISHO UFIKE HARAKA

Stori: Chande abdallah
Soma hii! Kikongwe mmoja aliyefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa (anakadiria ana miaka zaidi 100), mkazi wa Tandale, Kwatumbo jijini Dar amefunguka kuwa anatamani mwisho wa dunia ufike mapema kwa kudai kuchoshwa na mmomonyoko wa maadili unaoendelea nchini na dunia nzima kwa jumla. Kikongwe anayefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa. UZINZI, KATA ‘K’, NGUO FUPI ZAMCHEFUA
Akizungumza na...

 

10 years ago

BBCSwahili

EAC kushughulikia mgogoro wa Burundi

Ujumbe wa mawaziri wa mambo ya nje wa Afrika Mashariki kushughulikia mgogoro wa Burundi

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania inaufuatilia mgogoro wa Burundi

Hivi sasa Burundi ina mgogoro baada ya Chama tawala cha CNDD FDD kumteua Nkurunzinza kugombea urais kwa muhula wa tatu .

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza

Muungano wa Afrika, AU, umetangaza kwamba umejiandaa kuwatuma zaidi ya wanajeshi 5,000 wa kudumisha amani nchini Burundi.

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa

>Burundi imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa, baada ya mawaziri watatu wa chama cha Uprona chenye wafuasi wengi kutoka kabila la Watutsi kujiuzulu.

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM

William Samoei Ruto, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa EAC wakisimama kwa wimbo wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Burundi. Mh. Benard Membe ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI

Taarifa ya makubaliano toka kwa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki imetolewa leo Ikulu Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo ambapo baadhi ya maadhimio waliyokubaliana ni kwamba Rais Museveni wa Uganda awe msimamizi wa juhudi za upatanishi wa makundi nchini Humo.
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...

 

10 years ago

GPL

MVUA NIPIGE MZIGO LAZIMA UFIKE

...Akiwa na mzigo wa madumu huku mvua ikimnyeshea. KAMA ulivyo msemo usemao Bora Punda afe mzigo ufike, ndivyo unavyoweza kusema kwa picha hii ya kijana aliyekuwa amebeba madumu matupu kwenye baiskeli yake, akiendelea na safari yake licha ya mvua kubwa iliyonyesha katika mitaa ya Buguruni jijini Dar es Salaam. Kamera za GPL zilimnasa akiwa kazini. (Habari/Picha na: Gabriel… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani