MVUA NIPIGE MZIGO LAZIMA UFIKE
...Akiwa na mzigo wa madumu huku mvua ikimnyeshea. KAMA ulivyo msemo usemao Bora Punda afe mzigo ufike, ndivyo unavyoweza kusema kwa picha hii ya kijana aliyekuwa amebeba madumu matupu kwenye baiskeli yake, akiendelea na safari yake licha ya mvua kubwa iliyonyesha katika mitaa ya Buguruni jijini Dar es Salaam. Kamera za GPL zilimnasa akiwa kazini. (Habari/Picha na: Gabriel… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3NVEiWySK6DETPLaoh7xTMPAkvUqGO1NrLlsVDFHa3VpgCzXuth4DDiYJvi07oXtjkLTT4bI74sVoCftlGmT*T/Cdrisa41.jpg?width=650)
MONALISA: MWAKA HUU LAZIMA NIPIGE KURA
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mgogoro wa Burundi ufike mwisho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYgp54o3s7ceq*JBE8CH*BqPZz2hPSK-DqGWxDb9-AySUeG0aTUSF*JGHi*eRDniQnbpFp2duN09VT4fp07Rmp66/bimoza.jpg)
BI. MOZA ATAMANI MWISHO UFIKE HARAKA
10 years ago
Bongo Movies28 Jan
Nuh Mziwanda: Shilole Nimekupa Ruksa, Nipige Mpaka Nikome!!!
Baada ya juzi kati, mwanamama Shilole kumpiga kofi mchumba wake Nuh Mziwanda mbele za watu, Jana usiku Nuh Mziwanda ameibuka na kuandika bandiko hili mtandaoni.
“Mwanaume lijali aliekamilika ampigi mpenzi wake wala kurudishia kibao au kofi alilopigwa na mpenzi wake.naamini kwenye mapenzi ya kweli wivu lazima na kugombana kwenye mapenzi ni kama kwenda chooni ni swala la kawaida sana.aaaaaaaya mke wangu nimekupa ruksa nipige mpaka nikome.ila all i know its love dats it.Nawapenda Mashabiki...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Ninautua mzigo
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
JK awabebesha mzigo TAKUKURU
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...