Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BI. MOZA ATAMANI MWISHO UFIKE HARAKA

Stori: Chande abdallah
Soma hii! Kikongwe mmoja aliyefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa (anakadiria ana miaka zaidi 100), mkazi wa Tandale, Kwatumbo jijini Dar amefunguka kuwa anatamani mwisho wa dunia ufike mapema kwa kudai kuchoshwa na mmomonyoko wa maadili unaoendelea nchini na dunia nzima kwa jumla. Kikongwe anayefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa. UZINZI, KATA ‘K’, NGUO FUPI ZAMCHEFUA
Akizungumza na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro wa Burundi ufike mwisho

Tovuti hii toleo la jana kulikuwa na habari iliyosema wakimbizi wa Burundi wazidi kumiminika nchini hadi kufikia 91,661. Takwimu za Septemba 8, kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, zinaonyesha kila siku wanapokewa wakimbizi 200 na kusajiliwa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma.

 

10 years ago

GPL

MVUA NIPIGE MZIGO LAZIMA UFIKE

...Akiwa na mzigo wa madumu huku mvua ikimnyeshea. KAMA ulivyo msemo usemao Bora Punda afe mzigo ufike, ndivyo unavyoweza kusema kwa picha hii ya kijana aliyekuwa amebeba madumu matupu kwenye baiskeli yake, akiendelea na safari yake licha ya mvua kubwa iliyonyesha katika mitaa ya Buguruni jijini Dar es Salaam. Kamera za GPL zilimnasa akiwa kazini. (Habari/Picha na: Gabriel… ...

 

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA KUMCHANGIA MOHAMMED (MTOTO WA MAMA MOZA) DMV

Moza(kati) akiongea machache wakati wa harambee ya kumchangia mwanae iliyofanyika siku ya Jumapili May 17, 2015 Silver Spring, maryland. Kushoto ni Mariam na kulia ni Asha Hariz wakifuatilia anachokisema Maza.WanaDMV wakifuatilia mnada.WanaDMV wakifuatilia harambee.Jack (koti la kijani) akimsalimia Moza na kumpa pole ya kuuguliwa na mwanae.Jack akichangia.Ali akipokea viatu toka kwa Abou baada ya kuvinunua.Mnada ukiendeleaRashid akiwa na familia yake.Picha zote na Tito Mazali DMVKwa picha...

 

10 years ago

Vijimambo

Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu


Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...

 

10 years ago

Vijimambo

Harambee ya Kumchangia Mohammed (Mtoto wa BI.MOZA) Kwenda kwenye matibabu India

Ndugu zetu wa Tanzania wote msaada unahitajika kukamilisha gharama za matibabu ya kumpeleka ndugu yetu India kwa ajili ya kufanyiwa Kidney Transplant kwa haraka iwezekanavyo; kwa hivi sasa mgonjwa amelazwa katika hospital ya Muhimbili, Dar-es-Salaam.
Harambee itafanyika Kama ifuatavyo:Siku: Sunday - May 17, 2015 * SAA: Kuanzia 2pm-6pm
Address: Sligo Ave. PAB - Sligo Ave. Neighbor Park (Sligo Urban) 500 Sligo AVE Silver Spring MD, 20910
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi.Moza...

 

11 years ago

GPL

AUNTY ATAMANI KUZAA

Stori: Maria Halimoja Mkali wa sinema za Kibongo, Aunty Ezekiel amesema anatamani iwe leo au kesho apate mtoto kwani umri wake unaruhusu.Akipiga stori mbili-tatu na paparazi wetu, Aunty alisema kuwa anatamani kuwa mama si kwa kufuata mkumbo bali anataka kuwa mama kwani sasa ni muda muafaka kwake. Mkali wa sinema za Kibongo, Aunty Ezekiel “Natamani kwelikweli na mimi siku moja niwe mama wa mtoto sema tu sijabahatika kupata...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATAMANI USHOGA!

NYOTA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewashangaza watu kufuatia kuvaa wigi (nywele bandia) la mpenzi wake, Wema Isaac Sepetu, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni dalili ya kutamani mambo ya ushoga. Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha. ILIVYOKUWA
Hivi karibuni, Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha huku Wema akilitafuta ili...

 

9 years ago

GPL

WASTARA ATESEKA, ATAMANI KUUA!

Mwandishi wetu Hii ni habari ya kusikitisha! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kuteswa na kitu kilichoitwa pepo mbaya ambaye humsababishia hasira kali hasa anapokosewa ambapo anapokumbwa na hali hiyo, hujikuta anataka kuua. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma akisimulia kwa uchungu. TUJIUNGE NA CHANZO Sosi aliye karibu na staa huyo aliyezungumza na Ijumaa mapema wiki hii alinyetisha habari hiyo ambayo mbali na...

 

11 years ago

GPL

PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!

Na Brighton Masalu
MSHIRIKI wa Shindano la Maisha Plus Season 11 aliye pia msanii wa filamu za Kibongo, Upendo Mushi ‘Pendo wa Maisha Plus’ amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kuingia katika maisha ya ndoa licha ya mchumba wake kuchelewa kuchukua uamuzi huo. Upendo Mushi ‘Pendo wa Maisha Plus’. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar, Pendo ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani