BI. MOZA ATAMANI MWISHO UFIKE HARAKA

Stori: Chande abdallah Soma hii! Kikongwe mmoja aliyefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa (anakadiria ana miaka zaidi 100), mkazi wa Tandale, Kwatumbo jijini Dar amefunguka kuwa anatamani mwisho wa dunia ufike mapema kwa kudai kuchoshwa na mmomonyoko wa maadili unaoendelea nchini na dunia nzima kwa jumla. Kikongwe anayefahamika kwa jina la Moza Nyanongwa. UZINZI, KATA ‘K’, NGUO FUPI ZAMCHEFUA Akizungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Mgogoro wa Burundi ufike mwisho
11 years ago
GPLMVUA NIPIGE MZIGO LAZIMA UFIKE
10 years ago
VijimamboHARAMBEE YA KUMCHANGIA MOHAMMED (MTOTO WA MAMA MOZA) DMV
10 years ago
Vijimambo10 Jun
Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu

Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...
10 years ago
Vijimambo
Harambee ya Kumchangia Mohammed (Mtoto wa BI.MOZA) Kwenda kwenye matibabu India

Harambee itafanyika Kama ifuatavyo:Siku: Sunday - May 17, 2015 * SAA: Kuanzia 2pm-6pm
Address: Sligo Ave. PAB - Sligo Ave. Neighbor Park (Sligo Urban) 500 Sligo AVE Silver Spring MD, 20910
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi.Moza...
11 years ago
GPL
AUNTY ATAMANI KUZAA
11 years ago
GPL
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
10 years ago
GPL
WASTARA ATESEKA, ATAMANI KUUA!
11 years ago
GPL
PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!