Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu
Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s72-c/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee ya Kumchangia Mohammed (Mtoto wa BI.MOZA) Kwenda kwenye matibabu India
![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s640/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee itafanyika Kama ifuatavyo:Siku: Sunday - May 17, 2015 * SAA: Kuanzia 2pm-6pm
Address: Sligo Ave. PAB - Sligo Ave. Neighbor Park (Sligo Urban) 500 Sligo AVE Silver Spring MD, 20910
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi.Moza...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
India: Baba azika ua kuchoma maelfu ya miili ya watu kujifariji kwa kifo cha mtoto wake
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Sep
Nassra safari India kwa matibabu
Alhamdulilah,nineno la shukrani ambalo mja humshukuru Mola wake kwa kila jambo.Kwa upande wangu nimeamua kutumia neno hili leo baada ya kufanikiwa kile ambacho kilikuwa kimenikaa rohoni juu ya mtoto huyu pichani (Nassra)anaesumbuliwa na mguu tangia akiwa […]
The post Nassra safari India kwa matibabu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Dk Bisimba kupelekwa India kwa matibabu
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kisumo kupelekwa India kwa matibabu
10 years ago
VijimamboHARAMBEE YA KUMCHANGIA MOHAMMED (MTOTO WA MAMA MOZA) DMV
9 years ago
Bongo504 Dec
Wastara kwenda India kwa matibabu ya mguu ‘niombeeni’
![wastara mguu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wastara-mguu-300x194.jpg)
Afya ya muigizaji wa filamu, Wastara Juma bado haijarejea vyema baada ya kufanyiwa upasuaji wa pili wa mguu wake wa kulia nchini Kenya hivi karibuni.
Wastara ameiambia Bongo5 kuwa bado anajisikia maumivu makali hali inayomfanya ajipange kwa safari ya kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi.
“Watu waniombee tu,” amesema. “Napata maumivu makali kwenye mguu ambayo yanapanda mpaka kwenye mgongo. Nimetoka Kenya juzi tu kwa ajili ya matibabu lakini bado maumivu makali sana. Tayari...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s1600/IMG-20140609-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RxKspd_dV0A/U5VWqrNFWkI/AAAAAAAAV7w/aL8RXx_2ZVc/s1600/IMG-20140609-WA0002.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLpMoBxJ42qmG*hlyzGxRhKh3c0p3dUd80rlGqQ2CH6jEwtQhs199f5En1fOdMbTFr-yeLCxzvlnx9l-rrT1jvP/babasatrin.jpg?width=550)
MTOTO ALIYEJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI AFIKISHWA NAIROBI KWA MATIBABU