Nassra safari India kwa matibabu
Alhamdulilah,nineno la shukrani ambalo mja humshukuru Mola wake kwa kila jambo.Kwa upande wangu nimeamua kutumia neno hili leo baada ya kufanikiwa kile ambacho kilikuwa kimenikaa rohoni juu ya mtoto huyu pichani (Nassra)anaesumbuliwa na mguu tangia akiwa […]
The post Nassra safari India kwa matibabu appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Dk Bisimba kupelekwa India kwa matibabu
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kisumo kupelekwa India kwa matibabu
9 years ago
Bongo504 Dec
Wastara kwenda India kwa matibabu ya mguu ‘niombeeni’
![wastara mguu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wastara-mguu-300x194.jpg)
Afya ya muigizaji wa filamu, Wastara Juma bado haijarejea vyema baada ya kufanyiwa upasuaji wa pili wa mguu wake wa kulia nchini Kenya hivi karibuni.
Wastara ameiambia Bongo5 kuwa bado anajisikia maumivu makali hali inayomfanya ajipange kwa safari ya kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi.
“Watu waniombee tu,” amesema. “Napata maumivu makali kwenye mguu ambayo yanapanda mpaka kwenye mgongo. Nimetoka Kenya juzi tu kwa ajili ya matibabu lakini bado maumivu makali sana. Tayari...
10 years ago
Vijimambo10 Jun
Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/10592203_10155634912440247_1553759866_n.jpg?oh=8b3e2875f2fb17d999fa6f0199fd2dba&oe=5578D888)
Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ndege ya India yakatiza safari kwa sababu ya panya
10 years ago
Dewji Blog27 Dec
NHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53 nchini India
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga jumla ya watoto 55 wenye matatizo ya ugonjwa wa Moyo kati ya 104, waliofadhiliwa na Lions Club ya jijini, kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Watoto hao 55 wa awamu ya kwanza walionza kuondoka nchini jana.
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limechangia kiasi cha takribani shilingi...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
NSSF, Apollo wanavyojipanga kuleta matibabu ya India nchini
10 years ago
Michuzi21 Apr
MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s72-c/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee ya Kumchangia Mohammed (Mtoto wa BI.MOZA) Kwenda kwenye matibabu India
![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s640/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee itafanyika Kama ifuatavyo:Siku: Sunday - May 17, 2015 * SAA: Kuanzia 2pm-6pm
Address: Sligo Ave. PAB - Sligo Ave. Neighbor Park (Sligo Urban) 500 Sligo AVE Silver Spring MD, 20910
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi.Moza...