Ndege ya India yakatiza safari kwa sababu ya panya
Ndege iliyokuwa safarini kutoka Mumbai kwenda London ililazimika kukatiza safari na kurejea uwanja wa ndege baada ya panya kuonekana ndani ya ndege hiyo .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya..
Matukio yameendelea kuchukua headlines India.. ukiachia lile tukio la joto kali lililofanya watu kushindwa kuvumilia na kukaa ndani ya maji wakihofia maisha yao huku wengine wakipoteza maisha kutokana na joto kali kuna hii nyingine imetokea huko. Ndege ya Air India ambayo ilikua ikitoka Mumbai kuelekea London, Uingereza ililazimika kugeuza safari ikiwa na abiria wake 171 na […]
The post Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya.. appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Sep
Nassra safari India kwa matibabu
Alhamdulilah,nineno la shukrani ambalo mja humshukuru Mola wake kwa kila jambo.Kwa upande wangu nimeamua kutumia neno hili leo baada ya kufanikiwa kile ambacho kilikuwa kimenikaa rohoni juu ya mtoto huyu pichani (Nassra)anaesumbuliwa na mguu tangia akiwa […]
The post Nassra safari India kwa matibabu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s72-c/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s640/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s72-c/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
TTB YAFURAHISHWA NA KUREJEA KWA SAFARI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s640/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/93d8694d-6df2-495f-8149-527e6cbec45f.jpg)
Mgeni akipimwa joto la mwili punde aliposhuka kutoka katika ndege
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/825c59ce-8255-4584-82b5-6f580c00321c.jpg)
Wageni wakisimama kwa kusingatia alama zinazowaongoza kusimama umbali wa mita moja zilizowekwa na uongozi wa JNIA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7255c564-7f94-43e4-83eb-39b9ef6b20d7.jpg)
Mizigo yz wageni ikipuliziwa dawa kabla ya kuruhusiwa kuzunguka katika mashine ya kusambazia mizigo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a6709956-1036-4070-8fce-b2ecacdc384e.jpg)
Wageni wakisubiri mizigo yao kwa kufuata utaratibu wa kusimama umbali wa mita moja....
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ubelgiji yakatiza msaada kwa Burundi
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...