MTOTO ALIYEJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI AFIKISHWA NAIROBI KWA MATIBABU
![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLpMoBxJ42qmG*hlyzGxRhKh3c0p3dUd80rlGqQ2CH6jEwtQhs199f5En1fOdMbTFr-yeLCxzvlnx9l-rrT1jvP/babasatrin.jpg?width=550)
Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu. MTOTO Satrin Osinya aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mama yake katika shambulio la kigaidi lililofanywa kwenye kanisa la Joy of Jesus huko Likoni, Mombasa nchini Kenya Jumapili iliyopita, jana amefikishwa jijini Nairobi kwa matibabu. Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*0VGP2ttlL8oEZGls0Vr57XvzM60UE6C8ZknVoT*rJi-K6zBNvNmpX6eZBqhtj5qH7aohpyfvUEmqEt*8vOoax/1.jpg?width=650)
TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya
9 years ago
Bongo509 Sep
Wateja wa Mall mpya ya Nairobi waondolewa kwa hofu ya shambulio la kigaidi
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Shambulio lawaua watu 9 kanisani US
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s1600/IMG-20140609-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RxKspd_dV0A/U5VWqrNFWkI/AAAAAAAAV7w/aL8RXx_2ZVc/s1600/IMG-20140609-WA0002.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
10 years ago
Vijimambo10 Jun
Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/10592203_10155634912440247_1553759866_n.jpg?oh=8b3e2875f2fb17d999fa6f0199fd2dba&oe=5578D888)
Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_103939.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_103939.jpg)