BBC yazungumza na wasichana 3 wa Chibok
Wasichana wa Chibok nchini Nigeria bado wanaendelea kushikiliwa licha ya mazungumzo kati ya serikali na wanaowazuilia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok
Nigeria imeadhimisha siku mia tano tangu wasichana wa shule ya upili ya Chibok walipotekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Wasichana wa Chibok washinikizwa kuua
Wasichana wa Chibok waliotekwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita wadaiwa kushinikizwa kuwaua Wakristo
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Buhari:Tutawarejesha wasichana wa Chibok
Rais mteule wa Nigeria Jenerali mstaafu Muhammadu Buhari amesema kuwa atafanya kila awezalo ili kuwarejesha nyumbani wasichana waliotekwa na boko Haram
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Je, wasichana wa Chibok wako wapi?
Goodluck Jonathan amesema amesikitishwa kuwa siasa zilipewa kipau mbele kuliko hatma ya wasichana waliotekwa na Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok
Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.
10 years ago
Vijimambo15 Nov
BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcvSh74kFu4-*AP2ZAmmy1forpgxQr*Y-HNLsd4osXn6PhpU0moH*lcnb0mevpgfiGBLbP0jjiZX-hgGYM19cDlB/mateka.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban
Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza
Muungano wa Afrika, AU, umetangaza kwamba umejiandaa kuwatuma zaidi ya wanajeshi 5,000 wa kudumisha amani nchini Burundi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljy*xKBsHyfp4Fd7Z3FMHEppSjxPm2bRQfPG3QBURq8pzMuf2rp6XOHWHmeX9hV8vpSTENCrKGV*HscM484YXybA/Wadauwamitandao1.jpg?width=650)
EFM RADIO YAZUNGUMZA NA WADAU WA HABARI ZA MITANDAO
Mtangazaji wa Radio 93.7 EFM ya jijini Dar es Salaam, Samira Kiango (pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Habari za Mitandao, Clarence Mulisa kutoka Global Publishers & General Enterprises Ltd (kulia), Fredrick Bundara kutoka Bongo 5 (pili kushoto) pamoja na Othman Michuzi wa Mtaa kwa Mtaa Blog chini ya Michuzi Media Group, mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mezani, kilichokuwa kikijadili suala zima la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania