Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, wasichana wa Chibok wako wapi?

Goodluck Jonathan amesema amesikitishwa kuwa siasa zilipewa kipau mbele kuliko hatma ya wasichana waliotekwa na Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok

Nigeria imeadhimisha siku mia tano tangu wasichana wa shule ya upili ya Chibok walipotekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana wa Chibok washinikizwa kuua

Wasichana wa Chibok waliotekwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita wadaiwa kushinikizwa kuwaua Wakristo

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari:Tutawarejesha wasichana wa Chibok

Rais mteule wa Nigeria Jenerali mstaafu Muhammadu Buhari amesema kuwa atafanya kila awezalo ili kuwarejesha nyumbani wasichana waliotekwa na boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yazungumza na wasichana 3 wa Chibok

Wasichana wa Chibok nchini Nigeria bado wanaendelea kushikiliwa licha ya mazungumzo kati ya serikali na wanaowazuilia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok

Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.

 

11 years ago

Mwananchi

Wako wapi wanawake shupavu wa TANU?

>Hivi karibuni kulikuwa na maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika yaliyohitimishwa Desemba 9 katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wako Wapi Wakongwe Kunusuru Tasnia ya Filamu?

UKIMUULIZA msanii wa filamu wa hapa nchini, kama sanaa hiyo inalipa, atakujibu ndio inalipa. Ukibadili swali hilo na kumuuliza matatizo ambayo anakumbana nayo katika sanaa hiyo kila mara, atakwambia wizi wa kazi za wasanii kwa baaadhi ya watu wachache ambao hupenda kufaidika kupitia migongo ya wasanii hao.

Hayo ndio mambo ya haraka haraka ambayo wasanii wengi wameyatambua katika sanaa hiyo ambayo kila kukicha inapata wasanii chipukizi ambapo kuna baadhi yao hufikiri kuwa tasnia ya uigizaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani