Wako Wapi Wakongwe Kunusuru Tasnia ya Filamu?
UKIMUULIZA msanii wa filamu wa hapa nchini, kama sanaa hiyo inalipa, atakujibu ndio inalipa. Ukibadili swali hilo na kumuuliza matatizo ambayo anakumbana nayo katika sanaa hiyo kila mara, atakwambia wizi wa kazi za wasanii kwa baaadhi ya watu wachache ambao hupenda kufaidika kupitia migongo ya wasanii hao.
Hayo ndio mambo ya haraka haraka ambayo wasanii wengi wameyatambua katika sanaa hiyo ambayo kila kukicha inapata wasanii chipukizi ambapo kuna baadhi yao hufikiri kuwa tasnia ya uigizaji...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWAo4k3TucMaT2-e9U-AGlALAJdF9Ps5fj99mnCsCGDgNn8CZCDloSl0Rn0klG0oS*2yhg2-48EbsLl*-KBZIOI/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWWQKXTbhj3*-mF1qOgY0m92*oxbs4uWYE98cy7Z5q8xuTVUL6bUOIxQFNDpKOR1dRpMqetqEz6Q5A4c6W4nyfB/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI YA TUZO ZA FILAMU TANZANIA YASAHURIWA KUTANGAZA TASNIA YA FILAMU KIMATAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jgjF-mr0UUU/Uu-ZprOo1wI/AAAAAAAFKsk/5AGV2k4Fr-o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
MichuziKamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
JB: Tunafurukuta Lakini Tasnia ya Filamu Inakufa
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu za Kibongo Jacob Stephen ‘JB’ ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kwamba tasnia ya filamu ipo katika hali mbaya.
JB ambaye amefanya kazi kubwa katika kuiinua tasnia hiyo alisema, filamu inaangukia katika kifo kama ulivyoanguka muziki wa Bongo Fleva kutokana na soko kushikiliwa na maharamia.
Staa huyo alisema hali hiyo inawafanya wasambazaji kuanza kuikimbia tasnia hiyo na wengine kushusha bei ya filamu.
“Hali ya soko kwa sasa ni mbaya sana...