Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yalaani mvutano wa kisiasa Burundi

UN na EU zimeelezea wasiwasi kuhusu mvutano wa kisiasa unaozidi kutokota kati ya serikali na vyama vya upinzani nchini Burundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MVUTANO KISIASA: Wawapinga Ukawa

>Vyama vya siasa vya National Reconstruction Alliance (NRA) na Chama cha Kijamii (CCK) vimeutaka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni kuendelea na mchakato wa Katiba mpya.

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mauaji Burundi

Baraza la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kulaani mauaji nchini Burundi na kutaka kupelekwa kwa kikosi cha kulinda amani.

 

10 years ago

Habarileo

EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi

Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya Burundi. Kutoka kushoto ni Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. (Na Mpigapicha Wetu).WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yakumbwa na mgogoro mzito wa kisiasa

>Burundi imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa kisiasa, baada ya mawaziri watatu wa chama cha Uprona chenye wafuasi wengi kutoka kabila la Watutsi kujiuzulu.

 

10 years ago

Vijimambo

MFUNGWA WA KISIASA BURUNDI ATOWEKA GEREZANI



Hauhitaji Media PlayerPata usaidizi kuhusu Media PlayerBonyeza 'Enter' kuendelea au kurejea mwanzoniMfungwa wa kisiasa Burundi atoweka gerezani
Aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala Nchini Burundi Hussein Rajabu ameripotiwa kutoroka jela.Hussein Rajabu ambaye alikuwa mwanasiasa mashuhuri nchini humo alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela, mwaka 2007.Rajabu alikuwa anakabiliwa na kosa la hatia ya uhaini dhidi ya serikali kwa kutaka kuzusha vurugu nchini humo.Raia wengi wameonyesha wasiwasi wao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa wa kisiasa Burundi atoweka gerezani

Aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala nchini Burundi Hussein Rajabu ameripotiwa kutoroka jela.

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON ATIWA MOYO NA MAZUNGUMZO YA KISIASA BURUNDI


Na Mwandishi Maalum, New York

Wakati hali  ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu  Mkuu wa Umoja wa  Mataifa, Ban  Ki Moon (pichani), ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na usalama nchi humo .

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu,  siku ya Ijumaa hapa Umoja wa Mataifa,  imesema,  katibu Mkuu anatiwa  moyo na juhudi zinazofanywa na makundi mbalimbali  ya kikanda, ya kidini,  ya kijamii,  vyama vya siasa ...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

MVUTANO BAJETI



 Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri  Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato  Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
Chenge alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani