MVUTANO KISIASA: Wawapinga Ukawa
>Vyama vya siasa vya National Reconstruction Alliance (NRA) na Chama cha Kijamii (CCK) vimeutaka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni kuendelea na mchakato wa Katiba mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
UN yalaani mvutano wa kisiasa Burundi
UN na EU zimeelezea wasiwasi kuhusu mvutano wa kisiasa unaozidi kutokota kati ya serikali na vyama vya upinzani nchini Burundi.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Ukawa kujadili mvutano wa majimbo Ijumaa
Viongozi wa ngazi za juu wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) watakutana Ijumaa wiki hii kutafuta mwafaka katika mvutano uliopo katika majimbo 19 ya uchaguzi, yakiwamo manne ya Dar es Salaam, Mwananchi limedokezwa.
11 years ago
Habarileo09 Jul
'Ukawa hawajakomaa kisiasa'
IMEELEZWA kuwa kitendo cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuendelea kugoma kurudi bungeni ni dalili za wazi za kukosa ukomavu wa kisiasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIlc-W8MFwfRO8hSQ4OijJ0png-gbFNxsZ3cxK89MFttxHS-EgJ7v11yTPL5lOcbNCG4BEFF4-WJTIdAMlnVXTj/FreemanMbowe.jpg?width=650)
BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...
11 years ago
Michuzi19 May
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s72-c/CHENGE2.jpg)
MVUTANO BAJETI
Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s1600/CHENGE2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Viongozi Afrika na mvutano wa Madaraka
Siku ya demokrasia ya BBC inatoa tathimini kuhusu Viongozi wa Afrika na namna wanavyokiuka misingi ya Katiba
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mvutano mkali wasubiriwa kesho
Wenyeviti wa Kamati za Bunge wametabiri mvutano mkali bungeni wakati wa kuwasilishwa kwa maoni ya kamati zote kuhusu Rasimu ya Katiba.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Soko la mitumba lazua mvutano
Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) ameamua kujenga soko la kisasa eneo la Kiboriloni litakalokuwa na vibanda 200 na eneo la wazi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo na wa mitumba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania