Ushuru waibua sintofahamu Moshi
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, imetakiwa kutoa ufafanuzi ni kwa nini iliendelea kutoza ushuru wa magari siku ya jana ya Sikukuu ya Maulid ambayo ni mapumziko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Sintofahamu Z’bar
*CCM yajipanga kurudia uchaguzi
*CUF wagoma, wataka Maalim atangazwe
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
HALI ya sintofahamu sasa imeikumba Zanzibar, baada ya Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana jana mjini Unguja, kuweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi wa marudio visiwani humo.
Wakati CCM ikiendelea na mipango hiyo, wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), wamekuwa wakisubiri kutangazwa kwa aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Sintofahamu yaikumba Malawi
WAKATI Malawi ikianza kuhesabu upya kura zilizopigwa wiki iliyopita, wananchi wameanza utakaosababishwa na matokeo hayo. Hali hiyo imekuja baada ya kura za uchaguzi mkuu kuanza kuhesabiwa upya jana katika maeneo...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Amri ya Mahakama yazua sintofahamu bungeni
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
‘Maonyesho Jua Kali yaondoe sintofahamu’
CHAMA cha watabibu wa tiba asili nchini(ATME), kimetaka maonesho ya Jua Kali yatumike kuondoa sintofahamu ya mgongano uliopo kati ya Rwansa na Tanzania. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Mtaribu wa...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Kiujiuzulu kwa Prof. Lipumba na sintofahamu ya Dk. Slaa
MAKALA hii ni mwendelezo wa ile iliyochapishwa katika gazeti hili katika toleo la wiki iliyopita.
Evarist Chahali
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Kauli ya Rais Kikwete yazua sintofahamu kwa wananchi
10 years ago
VijimamboHALI YA SINTOFAHAMU YAENDELEA KUTAWALA NDANI YA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
10 years ago
Michuzi.jpg)
From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel
.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Apr
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Miezi mitano ya sintofahamu kuhusu BVR, Kura ya Maoni