Amri ya Mahakama yazua sintofahamu bungeni
Miongozo iliyoombwa na wabunge jana ilizua vurumai bungeni kiasi cha kumfanya Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kutishia kuliahirisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kauli ya Rais Kikwete yazua sintofahamu kwa wananchi
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Uda yazua kizaazaa bungeni
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Walimu wakaidi amri ya mahakama Kenya
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wizara ya Afya wakaidi amri ya mahakama
WATENDAJI wa Wizara ya Afya wameingia katika mgogoro na mhimili wa mahakama baada ya kukaidi amri ya kukifungulia kituo cha tiba za asili na mbadala cha Foreplan Herbal Clinic. Kituo...
11 years ago
Habarileo19 Jun
Mahakama yatoa amri mazishi ya Profesa
MAHAKAMA ya Wilaya Tarime, imeamuru mwili wa Profesa Patropher Ondiek (78) usubiri siku 10 zaidi kuzikwa ili watoto wake wahudhurie maziko. Akisoma hukumu juzi kutokana na shauri la madai lililofunguliwa na mke wa marehemu, Luth Mary Ondiek, Hakimu wa Wilaya Amworo Odira alisema uamuzi huo umetokana na wanafamilia kukubaliana.
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Matibabu ya Kikwete yazua balaa Bungeni
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy (CCM), kwa mara nyingine tena, jana alinusurika kichapo kutoka kwa wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF), baada ya kuwapasha kwamba wanatibiwa nchini India, kwanini...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...
5 years ago
Bongo514 Feb
Agnes Masogange kukamatwa kwa amri ya Mahakama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.
Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Majibu ya mapato ya Tanzanite yazua kizaazaa bungeni