Walimu wakaidi amri ya mahakama Kenya
Vyama vya walimu nchini Kenya vimesema havitatekeleza amri ya mahakama iliyowataka kusitisha mgomo huo kwa siku tisini kuanzia leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wizara ya Afya wakaidi amri ya mahakama
WATENDAJI wa Wizara ya Afya wameingia katika mgogoro na mhimili wa mahakama baada ya kukaidi amri ya kukifungulia kituo cha tiba za asili na mbadala cha Foreplan Herbal Clinic. Kituo...
5 years ago
Michuzi
Mahakama Kuu ya Kenya yatoa amri ya kusitishwa ndege zote kutoka China

Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini...
5 years ago
CCM Blog
MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA

Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mahakama yasitisha mgomo wa walimu Kenya
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu Kenya
5 years ago
Michuzi
WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI



10 years ago
Mwananchi27 Nov
Amri ya Mahakama yazua sintofahamu bungeni
11 years ago
Habarileo19 Jun
Mahakama yatoa amri mazishi ya Profesa
MAHAKAMA ya Wilaya Tarime, imeamuru mwili wa Profesa Patropher Ondiek (78) usubiri siku 10 zaidi kuzikwa ili watoto wake wahudhurie maziko. Akisoma hukumu juzi kutokana na shauri la madai lililofunguliwa na mke wa marehemu, Luth Mary Ondiek, Hakimu wa Wilaya Amworo Odira alisema uamuzi huo umetokana na wanafamilia kukubaliana.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...