Wizara ya Afya wakaidi amri ya mahakama
WATENDAJI wa Wizara ya Afya wameingia katika mgogoro na mhimili wa mahakama baada ya kukaidi amri ya kukifungulia kituo cha tiba za asili na mbadala cha Foreplan Herbal Clinic. Kituo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Walimu wakaidi amri ya mahakama Kenya
10 years ago
GPLMAHAKAMA YA ILALA YAFUTA AMRI YAKE YA KUWAKAMATA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wizara ya Afya yawasaka waliokaidi amri ya Magufuli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-07JQ_UPPmio/XpX7VBC96nI/AAAAAAAAHzM/TnxJd_7_1ykMSkjIjNEvJ-CALPJCjTFXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200414-WA0108.jpg)
WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-07JQ_UPPmio/XpX7VBC96nI/AAAAAAAAHzM/TnxJd_7_1ykMSkjIjNEvJ-CALPJCjTFXACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0108.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b--YucZQBYs/XpX7VbuS8aI/AAAAAAAAHzU/Ck5K9LaFSUA4k56Y7Jk7TODAzKJtZsAsgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0109.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UqdNxCv7wVw/XpX7VZH0efI/AAAAAAAAHzQ/FZrD8CobSQUi-1c-MFJKRrutp5t9YIcdwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0114.jpg)
11 years ago
Habarileo19 Jun
Mahakama yatoa amri mazishi ya Profesa
MAHAKAMA ya Wilaya Tarime, imeamuru mwili wa Profesa Patropher Ondiek (78) usubiri siku 10 zaidi kuzikwa ili watoto wake wahudhurie maziko. Akisoma hukumu juzi kutokana na shauri la madai lililofunguliwa na mke wa marehemu, Luth Mary Ondiek, Hakimu wa Wilaya Amworo Odira alisema uamuzi huo umetokana na wanafamilia kukubaliana.
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Amri ya Mahakama yazua sintofahamu bungeni
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...
5 years ago
Bongo514 Feb
Agnes Masogange kukamatwa kwa amri ya Mahakama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.
Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UDdZgbyE2NQ/XllAsybmZXI/AAAAAAACzrI/FEioO4m5xcslemsAgjfm0fZwPRNhwmtbQCLcBGAsYHQ/s640/_111072171_26930139-ee7c-4adb-88b8-1a076d453df1.jpg)
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...