Mahakama yasitisha mgomo wa walimu Kenya
Mgomo wa walimu nchini Kenya umesitishwa baada ya agizo la mahakama kwamba walimu warejee kazini wiki ijayo ikiwa afueni kwa wanafunzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Walimu wasitisha mgomo Kenya
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Walimu wakaidi amri ya mahakama Kenya
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu Kenya
10 years ago
Habarileo10 Dec
Mahakama Kuu yasitisha kikao Bodi ya Red Cross
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesitisha kikao cha Bodi ya Chama cha Msalaba Mwekundu (TRCS) jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mahakama Kuu yasitisha kesi ya IPTL kuuza hisa
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara imesimamisha usikilizwaji wa shauri la kupinga kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuuza hisa zake kwa kampuni ya Piper Link Investment Limited, ambayo kwa sasa ni Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP).
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mgomo wa Walimu wazaa matunda
MAANDAMANO yaliyofanywa na walimu wapya jijini hapa mwishoni mwa wiki iliyopita wakidai mishahara na marupurupu mengine yameanza kuzaa matunda, baada ya uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kukubali kuwakopesha...
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kenya yasitisha mkataba CNN kutangaza utalii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s72-c/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchini spain yazuia mgomo wa wachezaji uliopangwa kufanyika kuanzia Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s320/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchi Spain imeamuru mgomo wa wachezaji nyota nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi wakipinga sharia mpya ya haki za mapato kwenye TV, hivyo ndio kusema fainali timu ya Barcelona itaweka msumali wake wa mwisho wa La Liga dhidi ya Atletico Madrid siku ya Jumapili.
Mahakama hiyo ya National Court imesema katika uamuzi wake leo kwamba kuruhusu mgomo huo uendelee kutazuia kumalizika kwa michuano ya ubingwa ya nchi hiyo na pia kusababisha mvurugano mkubwa wa...
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mgomo wa waalimu Kenya waendelea