Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wasitisha mgomo Kenya

Mgomo wa walimu nchini Kenya hatimaye umesitishwa.Walimu sasa watarudi shuleni ili kuendelea kufunza siku ya jumatatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yasitisha mgomo wa walimu Kenya

Mgomo wa walimu nchini Kenya umesitishwa baada ya agizo la mahakama kwamba walimu warejee kazini wiki ijayo ikiwa afueni kwa wanafunzi

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wafanyabiashara wasitisha mgomo


NA WAANDISHI WETU
BIASHARA katika Jiji la Dar es Salaam, zimeanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya juzi baadhi ya wafanyabiashara wa maduka kugoma na kuyafunga, wakipinga matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFD).
Mgomo huo uliodumu kwa saa kadhaa, ulileta usumbufu mkubwa kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi waliofika kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali, hususan maeneo ya Kariakoo.
Hata hivyo, wafanyabiashara hao walisitisha mgomo huo baada ya kufikiwa kwa maazimio...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Cameroon wasitisha mgomo

Wanajeshi wa Cameroon waliohudumu katika jeshi la Umoja wa Mataifa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati wasitisha mgomo baada ya kulipwa mishahara yao

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi NatOil wasitisha mgomo

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Mafuta ya National Oil (NatOil), wameitisha mgomo usio na kikomo wakishinikiza kukutana na mmiliki wa kampuni hiyo kutoa malalamiko wanayodai yameshindwa kufanyiwa kazi na uongozi uliopo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasio makaazi wasitisha mgomo Brazil

Watu wasio na makaazi waliokuwa wakishiriki maandamano makubwa Brazil sasa wakubaliana na Serikali kuyasitisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madereva wa bodaboda Mtwara wasitisha mgomo

MADEREVA pikipiki ‘bodaboda’ mkoani Mtwara ambao juzi waligoma kubeba abiria kupinga kitendo cha askari polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kuwakamata na kuwapiga bila sababu za msingi, jana wamerejea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgomo wa Walimu wazaa matunda

MAANDAMANO yaliyofanywa na walimu wapya jijini hapa mwishoni mwa wiki iliyopita wakidai  mishahara  na marupurupu mengine yameanza kuzaa matunda, baada ya uongozi wa Halmashauri  ya Jiji la Mwanza kukubali kuwakopesha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgomo wa waalimu Kenya waendelea

Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Kenya kimetoa ilaani ya siku 7 kwa serikali kutekeleza agizo la nyongesa ya mishahara kwa waalimu

 

11 years ago

GPL

MGOMO WA MADAKTARI KENYA WAKITHIRI

Maafisa wa afya wanaowakilisha madaktari na wauguzi wamesisitiza kuwa hawatasitisha mgomo wao hadi serikali itakapotimiza matakwa yao. Hii ni licha ya mahakama kutoa agizo kwa madaktari hao kusitisha mgomo wao ifikapo tarehe 24 Disemba.Lakini wamesema kuwa wako tayari kuendelea na mazungumzo na serikali kutafuta kusuluhisha kwa mgomo huo unaohusu wao kupokea mishahara yao kutoka kwa serikali za majimbo wala sio serikali kuu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani