Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva wa bodaboda Mtwara wasitisha mgomo

MADEREVA pikipiki ‘bodaboda’ mkoani Mtwara ambao juzi waligoma kubeba abiria kupinga kitendo cha askari polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kuwakamata na kuwapiga bila sababu za msingi, jana wamerejea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wafanyabiashara wasitisha mgomo


NA WAANDISHI WETU
BIASHARA katika Jiji la Dar es Salaam, zimeanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya juzi baadhi ya wafanyabiashara wa maduka kugoma na kuyafunga, wakipinga matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFD).
Mgomo huo uliodumu kwa saa kadhaa, ulileta usumbufu mkubwa kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi waliofika kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali, hususan maeneo ya Kariakoo.
Hata hivyo, wafanyabiashara hao walisitisha mgomo huo baada ya kufikiwa kwa maazimio...

 

9 years ago

BBCSwahili

Walimu wasitisha mgomo Kenya

Mgomo wa walimu nchini Kenya hatimaye umesitishwa.Walimu sasa watarudi shuleni ili kuendelea kufunza siku ya jumatatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Cameroon wasitisha mgomo

Wanajeshi wa Cameroon waliohudumu katika jeshi la Umoja wa Mataifa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati wasitisha mgomo baada ya kulipwa mishahara yao

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi NatOil wasitisha mgomo

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Mafuta ya National Oil (NatOil), wameitisha mgomo usio na kikomo wakishinikiza kukutana na mmiliki wa kampuni hiyo kutoa malalamiko wanayodai yameshindwa kufanyiwa kazi na uongozi uliopo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasio makaazi wasitisha mgomo Brazil

Watu wasio na makaazi waliokuwa wakishiriki maandamano makubwa Brazil sasa wakubaliana na Serikali kuyasitisha.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.

Chama cha wafanyakazi madereva Tanzania-TADWU- kimetangaza mgomo wa madereva nchi nzima kuanzia Agosti tisa mwaka huu baada ya wamiliki wa mabasi, wakala wa usafiri wa nchi kavu na majini pamoja na wizara ya kazi kushindwa kutekeleza makubaliano yalifikiwa na tume iliyoundwa na waziri mkuu kutatua mgogoro wa madereva nchni.Kauli hiyo imetolewa na naibu katibu mkuu wa TADWU, Bwana Rashidi Salehe wakati akizungumza na ITV ambapo amesema mgomo huo unarejea tena baada ya wamiliki wa mabasi kwa...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MGOMO WA MADEREVA MWANZA

Mabasi yanayoenda mikoani yakiwa yamepaki katika kituo cha Mabasi cha Nyegezi mkoani Mwanza kufuatia mgomo wa Umoja wa Vyama vya Madereva nchini wakishinikiza serikali kutatua kero zinazowakumba madereva hao. Maofisa polisi wa Jiji la Mwanza wakijadiliana katika kituo cha mabasi cha Nyegezi wakati wa mgomo huo. Abiria…

 

10 years ago

Habarileo

Abiria wataabika na mgomo wa madereva

ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR

Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani