Uda yazua kizaazaa bungeni
Uuzwaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) jana uliibua utata juu ya uhuru wa mihimili mitatu ya nchi baada ya wabunge kutaka kujadili suala hilo, huku Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipinga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Majibu ya mapato ya Tanzanite yazua kizaazaa bungeni
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Helkopta ya Ndesamburo yazua kizaazaa
10 years ago
Mwananchi05 Dec
IPTL yazua Kizaazaa Mahakamani
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Mabango ya Lowassa yazua kizaazaa
AZIZA MASOUD NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
MABANGO yenye picha ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, yanayoendelea kubandikwa katika maeneo mbalimbali nchini yamezua kizaazaa, baada ya mengine kuondolewa na wale wanaofanya kazi ya kuyaweka kutishwa na hata kuwekwa ndani na Jeshi la Polisi.
Hali hiyo imejitokeza mkoani Iringa, ambako vijana wanaofanya kazi ya kuweka mabango hayo waliwekwa ndani na Jeshi la Polisi na jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Mamilioni ya Nyalandu yazua kizaazaa kanisani
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
FEDHA zinazodaiwa kutolewa katika kanisa moja Dar es Salaam na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, zimezua kizaazaaa kanisani hapo.
Nyalandu anaelezwa alichanga Sh milioni 50 kuunga mkono ujenzi wa Kanisa la ‘Holy Ghost Anglican Church’ la Kimara Resort.
Hatua hiyo imetokana na msimamo wa waumini wa kanisa hilo jana, kuibua hoja baada ya ibada ya asubuhi kanisani hapo.
Walihoji hatua ya Mchungaji wa kanisa hilo kushindwa kutoa...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Marufuku ya Miraa UK yazua kizaazaa Kenya
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Kodi ya TRA yazua kizaazaa Bakwata
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi, ameunda timu ya uchunguzi ambayo itapitia upya mikataba yote mibovu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Pamoja na hali hiyo pia ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Bakwata, Makao Makuu, Karim Majaliwa kupisha uchunguzi juu ya kadhia ya magari 82 na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Mufti Zuberi ilieleza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEy2DIie-DcPw*n7-ccK3tGrCdEs9jWKljdZR4AgfUDzLfTzMZlgC0AmKXzddvp4KDCH6GidRi8fd56eeyURlaZh/OBAMANAORTIZ.jpg?width=650)
PICHA YA RAIS OBAMA NA ORTIZ YAZUA KIZAAZAA
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Kauli ya Obama kuhusu Ukristo yazua kizaazaa