Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sintofahamu Z’bar

DSC_7165*CCM yajipanga kurudia uchaguzi

*CUF wagoma, wataka Maalim atangazwe

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

HALI ya sintofahamu sasa imeikumba Zanzibar, baada ya Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana jana mjini Unguja, kuweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi wa marudio visiwani humo.

Wakati CCM ikiendelea na mipango hiyo, wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), wamekuwa wakisubiri kutangazwa kwa aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sintofahamu yaikumba Malawi

WAKATI Malawi ikianza kuhesabu upya kura zilizopigwa wiki iliyopita, wananchi wameanza utakaosababishwa na matokeo hayo. Hali hiyo imekuja baada ya kura za uchaguzi mkuu kuanza kuhesabiwa upya jana katika maeneo...

 

9 years ago

Mwananchi

Ushuru waibua sintofahamu Moshi

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, imetakiwa kutoa ufafanuzi ni kwa nini iliendelea kutoza ushuru wa magari siku ya jana ya Sikukuu ya Maulid ambayo ni mapumziko.

 

10 years ago

Mwananchi

Amri ya Mahakama yazua sintofahamu bungeni

Miongozo iliyoombwa na wabunge jana ilizua vurumai bungeni kiasi cha kumfanya Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kutishia kuliahirisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Maonyesho Jua Kali yaondoe sintofahamu’

CHAMA cha watabibu wa tiba asili nchini(ATME), kimetaka maonesho ya Jua Kali yatumike kuondoa sintofahamu ya mgongano uliopo kati ya Rwansa na Tanzania. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Mtaribu wa...

 

10 years ago

Michuzi

EFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Mtangazaji, Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha...

 

10 years ago

Michuzi

libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha

 Wana 93.7 EFM wakipata ytaswira  na mashabiki wa EFM maeneo ya Kibaha kuwashukuru na kuwatunza kuwapa zawadi kwa kusikiliza vipindi vya kituo hicho cha redio kinachotamba nchini,  ikiwa ni maandalizi ya ujio wa libeneke la Muziki mnene bar kwa bar.  Bango la MUZIKI MNENE lilionekana maeneo ya mjini Kibaha, lilowekwa na mmoja wa mashabiki wa EFM Radio 93.7. 

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE‏

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habri Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Na Dotto Mwaibale KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habri Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios.
Na Dotto Mwaibale
KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza.
Hayo yalibainishwa na Meneja Mkuu...

 

10 years ago

Raia Mwema

Kiujiuzulu kwa Prof. Lipumba na sintofahamu ya Dk. Slaa

MAKALA hii ni mwendelezo wa ile iliyochapishwa katika gazeti hili katika toleo la wiki iliyopita.

Evarist Chahali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani