Simba kuwavaa watoza ushuru
WEKUNDU wa Msimbazi Simba leo wanashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuvaana na URA ya Uganda katika mchezo wa kirafiki kwa maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Apr
Watoza ushuru feki waivuruga Dar
KUMEIBUKA vikundi vya watu jijini Dar es Salaam vikidaiwa kujichukulia madaraka ya kukusanya ushuru katika vituo vya daladala na kwa wafanyabiashara kwenye maeneo yasiyoruhusiwa hali ambayo mamlaka zinazohusika na usimamizi zimeshauriwa kuingilia kati kukomesha vitendo hivyo.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo
>Wawakilishi wa Tanzania, Azam na Simba leo watakuwa na kibarua kizito mbele ya timu za Uganda, URAÂ na KCC wakati wa mechi za nusu fainali za Kombe la Mapinduzi zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s72-c/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
STARS KUWAVAA THE CRANES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s640/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZcH1FbcxL2dI7ttkXd0Wqo0LH*c14snlX9XgkbJySiDZ72F2hM8QODM0SH86XzoCpWedtYKZdgxccm8qH36rXKN/boban.jpg?width=600)
Boban arejea kuwavaa Yanga
Haruna Moshi ‘Boban’. Na Nicodemus Jonas
KIUNGO mtukutu wa Coatal Union, Haruna Moshi ‘Boban’, amerejea uwanjani baada ya kuukosa mchezo dhidi ya JKT Oljoro wikiendi iliyopita kutokana na kusumbuliwa na malaria. Boban alikuwa akisumbuliwa na malaria tangu kikosi hicho kilipokuwa nchini Oman kwa kambi ya wiki mbili, hata hivyo tayari amepata matibabu na leo huenda akawa kwenye orodha, iwapo kocha Yusuf...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s72-c/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
STARS KUWAVAA MADAGASCAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s640/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
Taifa Stars inahitaji kupata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Madagascar ili kufufua matumaini ya kuweza kusonga mbele katika hatua inayofua ya Robo Fainali.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars akiongelea mchezo wa leo amesema, makosa yaliyojitokeza katika mchezo...
11 years ago
GPLYANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI
Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika. Young Africans itashukda dimbani kuhakikisha inaendeleza wimbi la ushindi kufuatia kupata ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya timu ya Mbeya City mchezo ambao ulikuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s72-c/rangers.jpg)
Friends Rangers kuwavaa Azam
![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s640/rangers.jpg)
Ofisa habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo utafanyika asubuhi kuanzia saa 2, asubuhi.
Kigundula alisema kuwa wameshukuru kupata mechi hiyo ambayo itaendelea kuiweka timu yao katika mazingira mazuri kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.
Alisema kuwa kucheza na timu kama Azam...
11 years ago
GPLSTARS WAJIFUA KUWAVAA MSUMBIJI
Kikosi cha Taifa Stars kikifanya mazoezi kwenye Viwanja vya Gymkhan jijini Dar es Salaam jana jioni kujiandaa na mechi ya kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Mataifa Afrika dhidi ya Msumbuji. Kocha msaidizi wa Stars, Patrick Mwangata (kulia)…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania