Boban arejea kuwavaa Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZcH1FbcxL2dI7ttkXd0Wqo0LH*c14snlX9XgkbJySiDZ72F2hM8QODM0SH86XzoCpWedtYKZdgxccm8qH36rXKN/boban.jpg?width=600)
Haruna Moshi ‘Boban’. Na Nicodemus Jonas KIUNGO mtukutu wa Coatal Union, Haruna Moshi ‘Boban’, amerejea uwanjani baada ya kuukosa mchezo dhidi ya JKT Oljoro wikiendi iliyopita kutokana na kusumbuliwa na malaria. Boban alikuwa akisumbuliwa na malaria tangu kikosi hicho kilipokuwa nchini Oman kwa kambi ya wiki mbili, hata hivyo tayari amepata matibabu na leo huenda akawa kwenye orodha, iwapo kocha Yusuf...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWhz2ls-oqno*yOMYG-MVcNcY4DgI4dWwCGbwzsFlWeQiyOazM7dpARtkaKPAFnv0L8fL3*bFhpTkV1WiLWroPGQ/marcio.jpg)
Maximo amtaja Boban Yanga SC
11 years ago
GPLYANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI
11 years ago
GPLMAZOEZI YA MWISHO YA YANGA KABLA YA KUWAVAA AL AHLY LEO SAA 2 USIKU
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Cannavaro arejea Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Niyonzima arejea kuongeza makali Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, amerejea kuiongezea makali timu hiyo baada ya kuikosa mechi ngumu dhidi ya Azam FC iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita.
Jumamosi iliyopita Yanga ilijikuta ikipunguzwa na kasi na Azam katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kiungo huyo raia wa Rwanda ambaye ni tishio Ligi Kuu na injini ya kikosi cha Yanga kutokana na umahiri wake wa...