YANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI
Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika. Young Africans itashukda dimbani kuhakikisha inaendeleza wimbi la ushindi kufuatia kupata ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya timu ya Mbeya City mchezo ambao ulikuwa ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Yanga yateketeza Wacomoro
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwachakaza Komorozine kutoka mji wa Domoni, Comoro mabao 7-0 katika mechi ya kwanza...
11 years ago
GPLWASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Yanga wanoa makali kuwanyoa Wacomoro
KOCHA msaidizi wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na wawakilishi katika michuano ya kimataifa, Yanga, Charles Mkwasa, amesema kwa sasa anakomaa na safu ya ushambuliaji kabla ya kushuka dimbani...
11 years ago
BBCSwahili09 Feb
Wacomoro hoi kwa Yanga, walala 7-0
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZcH1FbcxL2dI7ttkXd0Wqo0LH*c14snlX9XgkbJySiDZ72F2hM8QODM0SH86XzoCpWedtYKZdgxccm8qH36rXKN/boban.jpg?width=600)
Boban arejea kuwavaa Yanga
11 years ago
GPLMAZOEZI YA MWISHO YA YANGA KABLA YA KUWAVAA AL AHLY LEO SAA 2 USIKU