Wacomoro hoi kwa Yanga, walala 7-0
Yanga ya Tanzania imewafunga Komorozine ya Comoro mabao 7-0 katika mchezo wa awali wa kuwania kombe la klabu bingwa Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Sep
Adam Juma ampongeza Izzo Bizness kwa kutaja gharama halisi aliyotumia kwenye video ya ‘Walala hoi’, M 1.4
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio & lyrics: Izzo Bizness - Walala Hoi
![](http://1.bp.blogspot.com/-77VNeibHINc/U70T0HD_ORI/AAAAAAAAFOI/q4IB0m3bLwE/s1600/IMG-20140709-WA0003.jpg)
9 years ago
Bongo525 Dec
New Music: Izzo Bizness f/ Navio & Mwasiti – Walala Hoi (Part 2)
![20151224222753](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151224222753-300x194.jpg)
Christmas ni siku ambayo Izzo Bizness anasherehekea siku ya kuzaliwa na ameamua kutoa zawadi kwa mashabiki wake. Ni part 2 ya wimbo wake Walala Hoi aliowashirikisha Navio na Mwasiti.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Izzo Bizness katuletea zawadi ya Christmas, wimbo ni ‘Walala Hoi Part 2’- Feat. Navio & Mwasiti.. (+Audio)
Rapper kutoka Mbeya City ambaye leo December 25 2015 anasherehekea pia siku yake ya kuzaliwa… Happy BIRTHDAY na kila la kheri mtu wetu Izzo Bizness.. umetimiza miaka mingapi leo ?!! Okay, tuachane na hilo la umri wa Izzo… Christmas hii Izzo kaona aangushe kitu kizuri kushare na watu wake wote, kwa maana nyingine hii ndio […]
The post Izzo Bizness katuletea zawadi ya Christmas, wimbo ni ‘Walala Hoi Part 2’- Feat. Navio & Mwasiti.. (+Audio) appeared first on...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Yanga yateketeza Wacomoro
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwachakaza Komorozine kutoka mji wa Domoni, Comoro mabao 7-0 katika mechi ya kwanza...
11 years ago
GPLYANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI
11 years ago
GPLWASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Yanga wanoa makali kuwanyoa Wacomoro
KOCHA msaidizi wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na wawakilishi katika michuano ya kimataifa, Yanga, Charles Mkwasa, amesema kwa sasa anakomaa na safu ya ushambuliaji kabla ya kushuka dimbani...
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...