Marufuku kupeana mikono Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amewataka wakazi wa jijini hilo kuchukua hadhari za kiafya ikiwamo kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono kutokana na mlipuko wa kipindupindu ambao mpaka sasa umeshawapata watu 56, kati yao watatu wamefariki dunia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Coronavirus: Kwanini ni marufuku kupeana mikono na busu?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-22FUJ78-rm0/XpiIiI81IQI/AAAAAAALnM4/NJ9OraBbri0etYozD0G29NhdJLNRjIJSQCLcBGAsYHQ/s72-c/26e61741-1fe8-43eb-aca4-fc9391eaf25a.jpg)
DC NDEJEMBI APIGA MARUFUKU BIASHARA ZISIZO NA VITAKASA MIKONO NDANI YA WILAYA YA KONGWA
Charles James, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepiga marufuku biashara zozote ndani ya wilaya hiyo ambazo hazina vifaa vya kujikinga na corona.
DC Ndejembi amewataka wafanyabiashara wote kuhakikisha wanaweka maji ya kunawa yanayotiririka, sabuni au vitakasa mikono ikiwa ni jitihada za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu maarufu Corona.
Akizungumza katika mkutano wake na watendaji wa kata zote za wilaya hiyo, DC Ndejembi pia amewataka watendaji hao...
9 years ago
Habarileo26 Aug
Zabuni za kupeana zamchefua JK
RAIS Jakaya Kikwete amekemea tabia ya kugawana zabuni kwa `kujuana’, tena bila ya kuzingatia uwezo wa kampuni zinazopewa kazi mbalimbali za serikali, ikiwamo ujenzi wa barabara nchini.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Mwanamfalme kupeana dola bilioni 32
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s72-c/DSCF2160.jpg)
TIC NA TRA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KATIKA KUPEANA TAARIFA NA TAKWIMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s1600/DSCF2160.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3JGdC1Qq5TQ/VMtgJbnzEiI/AAAAAAAHAWg/Bfv4nPI7eKg/s1600/DSCF2207.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Mar
Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar
MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.
11 years ago
Habarileo07 Aug
Vipodozi vilivyopigwa marufuku vyauzwa Dar
LICHA ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kupiga marufuku vipodozi vyenye viambata vya sumu, vimeendelea kuuzwa katika masoko yaliyopo jijini hapa huku vingine vikiisha muda wake.
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Dar yapiga marufuku vyakula mitaani kudhibiti kipindupindu
Na Waandishi wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amepiga marufuku uuzwaji wa vyakula na matunda katika maeneo yasiyorasmi.
Agizo hilo limelenga kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu unaoendelea kusambaa katika jiji la Dar es Salaam, ambapo hadi sasa watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha.
Sadick alitoa amri hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kusema wagonjwa wa kipindupindu wamefikia 56.
“Wagonjwa...