Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam imechukua uamuzi mgumu wa kupiga marufuku baadhi ya mambo yaliyozoeleka kwa wakazi wa jiji hili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Wachimba mchanga Dar sasa kukiona
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wachimba mchanga wadaiwa kuleta ghasia
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NRbCLTE36QQ/XlepWe9kzKI/AAAAAAALfq4/_tLeRx9cDmcKUm_I2SozEF6NMUh7XxyNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC BAGAMOYO ZAINABU KAWAWA APIGA MARUFUKU NGOMA ZA VIGODORO
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa ambaye pi ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amepiga marufuku kuwepo kwa ngoma na miziki ambayo inafanyika nyakati za usiku bila utaratibu maarufu kama ‘Vigodoro’ kwani zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili kwa wananchi.
Agizo hilo amelitoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Nina njema, wadau wa maendeleo pamoja na wakuu mbali mbali wa idara wakati wa mkutano wake wa kikazi kwa...
11 years ago
MichuziYaleyaleeee......uchimbaji mchanga mto mbezi jijini Dar es salaam waendelea kama kawa
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wizara yapiga marufuku uchimbaji mchanga
SERIKALI imefuta vibali vyote vya uchimbaji mchanga katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ili kunusuru vyanzo vya maji na mazingira.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LjCf9sd3oW4/VXkVY_nZppI/AAAAAAAAQzg/YDqOYaYS77Y/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LaPsJXjmjY/VXkVZVTjbSI/AAAAAAAAQzk/9OQw9osZvsQ/s640/3.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Jan
Wapiga ramli wapigwa marufuku
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema kutokana na ongezeko la matukio ya utekaji wa albino nchini, serikali imeamua kuanza kuwadhibiti wapiga ramli, akisema inaaminika ndio chanzo cha matukio hayo.
Aidha, Jeshi la Polisi na Chama cha Albino Tanzania (TAS) kimeandaa timu itakayofanya...
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Wabaguzi wa Chelsea wapigwa marufuku